Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 21,339
- 51,884
- Thread starter
- #181
Kumbuka yeye hawezi kusoma Never ever
Umejuaje haya
Kumbuka yeye hawezi kusoma Never ever
Mmefikia wapi na jambo lenu?Kabisa Mkuu ,nilitoa ushauri wangu Dayamondi akae mbali na mipasho na siasa kwenye mitandao ,atumie mtandao kupost kazi zake tu!! Kigogo ni mtu mbadi akili kubwa ile anajua mambo ambayo dayamond na crew yake wote hawatakuja kuyajua, umeshauri vyema.
Kaaaama sio yeye aliyekuwa anawekewa link na votes zikafika ngapi sijui.Na amekaa kimya basi haters napo wanaumia kweli..walitegemea angeongea...yuko bize anapost shoo zake
Mmefikia wapi na jambo lenu?
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Niliona mlimuungana wenyeweMuulize Kigogo Mkuu.
Siuwi watu kwa kutafuta utajiri wa lazimaNdo anapopata hela Sasa naww fanya kama una jeur hyo
Wanaharakati wamefikia wapi mpk sa hiz jamani?
Au kura hazijatosha kuwashawish BET
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣.
HII NCHI KUNA MUDA INA MAMBO YA KIWEHUUUU.
Kashapigwa huko na mnigeria hahahaaaDIAMOND USIWAPUUZE KINA KIGOGO NA WANAMTANDAO, HAO SIO KINA KONDE NA SHILAWADU
Na, Robert Heriel
Diamond hapaswi kupuuza hii movement ya Wanaharakati wa kimtandao na wanasiasa, asije akafikiri kundi hili nila Wale Wasanii wenzake ambao hata shule hawajaenda.
Diamond anapaswa Ajue kuwa Wanaharakati wa mtandaoni ni wasomi tena sio wakubahatisha, wana-exposure ya hali ya juu kumshinda hata yeye mwenyewe.
Kama ningeambuwa nimshauri Diamond kuhusiana na kile kinachoendelea mtandaoni ningemwambia aombe radhi hata ya kinafiki kwani yote anayotuhumiwa ni kweli.
Diamond anapaswa Ajue kuwa kundi hili ndilo lile lile lililokuwa linamshambulia Mwendazake bila kukoma mpaka dakika ya mwisho kabisa bila kujali athari zozote. Ikiwa kundi hili lilimudu kumkabili Mkuu. WA nchi lazima Diamond afikiri mara mbili mbili asifikiri Kama mtoto mdogo.
Simtishi Ila namtahadharisha ili achukue hatua zinazostahili. Nafikiri Diamond Kama atazichukua hoja za hawa wanamtandao akazifanyia kazi atakuwa msanii Bora zaidi kuliko akizipuuza.
Ni kweli kabisa Diamond hakuweza kuzungumzia uonevu na ukiukwaji wa haki za binadamu uliofanyika miaka ya 2016 - 2019 zaidi ya yote alitoa kibao kisemacho ACHA NIKAE KIMYA.
Diamond asije akadhani hawa wanamtandao ni Wale kina Konde na shilawadu
Diamond lazima aangalie hili kundi linaloongozwa na #Kigigo_kigogo, na wenzake halijawahi kushindwa katika movement wazifanyazo.
Hilo kundi asilipuuze na Kama atalipuuza basi Ajue anafanya makosa makubwa yatakayo mgharimu pakubwa mno.
Diamond asilione kundi hilo Kama watafuta Kick Kama yeye na wenzake kwani kundi hilo halitegemei kick.
Management ya Diamond na washabiki wake ambao kimsingi nafahamu wengi wao wanafikiri kuwa kila anayemkosoa Diamond ni haters wabadilishe huo mtazamo.
Hakuna anayemchukia Diamond labda Wasanii wenzake huko.
Diamond unachopaswa kufanyia KAZI ni madai ya hao Wanaharakati wa mitandaoni.
Wanamtandao hawakatai Diamond kuwa CCM hiyo ni Haki yake Kama apendavyo, lakini tatizo ni diamond kushindwa kutetea maslahi na haki ya jamii yake pale zinaposiginwa.
Diamond Kama anaakili aichukue hii Kama changamoto na ajifunze ili wakati mwingine aweze kutetea maslahi na haki za jamii yake wakiwemo Wasanii.
Lakini Kama atashupaza shingo yake Nina uhakika Diamond huu unaweza kuwa mwanzo wa mwisho wake.
Diamond akileta mawazo ya mwendazake akidhani kila anayemshauri na kumkosoa ni hater basi anguko lake halipo mbali.
Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
KUSHINDA NJAA AU KUSHINDA UCHI?IKITOKEA AMESHINDA SIJUI UTARUDI USEME NINI TENA
PoleIKITOKEA AMESHINDA SIJUI UTARUDI USEME NINI TENA
Kashapigwa huko na mnigeria hahahaaa
Vipi kashinda?IKITOKEA AMESHINDA SIJUI UTARUDI USEME NINI TENA
Ilikua ni swala la kusimama kama Taifa kuhakikisha tuzo inakuja nyumbani, bt kwa manyaunyau ya wasafi tumegawanyika sana na tunawapa gape wapinzani, WCB wanatakiwa wajirekebishe na wawe pamoja na wenzao wakiendelea kujiona matawi ipo siku hata KTMA ikirudi watatoka patupu...NAWASILISHAHiyo ilikuwa wazi kabisa
HajashindaIKITOKEA AMESHINDA SIJUI UTARUDI USEME NINI TENA
Acheni wivu vijanaKUSHINDA NJAA AU KUSHINDA UCHI?
Sawa mzee samahani.Acheni wivu vijana