Liwimbo libaya kweli...hakuna kitu yaniAliyeitazama aniambie ikoje.
Kama la KIBALiwimbo libaya kweli...hakuna kitu yani
Aisee...jf kumevurugwa...mama yake ni baba??????Ila mimi nimeitazama katika angle nyingine kabisa mbona kama imejawa na matangazo ya kile kinywaji kinachosemekana ni cha mr. Rick rose,...
=====
Halafu huyo rick ROSE mama yake ni baba?,sijalielewa jina lake
Yani sikuwa hata na hamu ya kutazama wala kusikiliza huu wimbo lakini nimetazama video aisee audio na video next level jamaa anajua.hatari sana humo
Luc Belaire Rare Rosé Kinatengenezwa Ufaransa lakini kinamilikiwa na kampuni ya Kimarekani ya Sovereign brands ila Rick Ross and Dj Khalid inasemakana wana hisa piaIla mimi nimeitazama katika angle nyingine kabisa mbona kama imejawa na matangazo ya kile kinywaji kinachosemekana ni cha mr. Rick rose,...
=====
Halafu huyo rick ROSE mama yake ni baba?,sijalielewa jina lake
very trueMbona ni tangazo la biashara
Kwanza sio rick rose bi rick ross halafu ni jina la kisanii baada ya kulicopy kwa aliyekuwa muuza madawa maarufu ajulikanaye kama Ricky Donnell "Freeway Rick" RossIla mimi nimeitazama katika angle nyingine kabisa mbona kama imejawa na matangazo ya kile kinywaji kinachosemekana ni cha mr. Rick rose,...
=====
Halafu huyo rick ROSE mama yake ni baba?,sijalielewa jina lake
Inawezekana kalipwa kuonyesha hicho kinywaji ukizingatia ni barozi wa Belaire...Mbona ni tangazo la biashara