Umejuaje ni mwanamke sahihi kwake???
Mtoto halali wa diamond ni wa hamisa tu wengine ni wa ivan. Zari alikuja kutafuta pesa
Mbwata ndio nini mkuu?
CopyrightJe wewe umefanana na babaako? Tuwekee picha tuone.
Labda tifa ,,na wa hamisakifupi tuseme simba ni mgumba??
Kwahiyo unawajua watoto wa diamond kuliko diamond mwenyeweWe nae usituchefue mbona hakuna hata mtoto mmoja anaemfanana daimond ,,yule nillan anafanana na ivan,,
Tunasubiria picha ya mtoto wa hamisa tufananishe DNA za macho,,angalia kina hemedy watotp wao wanavyowafanana,kina msando
Hapo chini ni jibu ndio,,Kwahiyo unawajua watoto wa diamond kuliko diamond mwenyewe
Hivi ivan alikua na mdomo kama wa nillan na tiffa eeh
Unajuaje je kama ivan ndo alimuacha zari au alikua na visa kwa sababu ya utajiri wake huenda zari alimvumilia mwisho akachoka na kutafuta furaha ya moyo wakeHuyo kibibi wala usimuonee huruma cuz yeye ndio muhuni na ndio aliye sababisha husband wake kuwa na presha
Tukio la kumkimbia ivan alee watoto na yeye kwenda kumkimbilia kijana mdogo diamond ilukuwa ni tukio la kijinga na alifanya makusudi kumuumiza ivan
Kuna kipindi walikuwa wanapiga picha wakiwa nusu uchi bafuni nyingine chumbani mara d anamnyonya kwapa hiyo yote kumliza mmewe
Kumbe ivan alikuwa na machozi ya ndani ndani mwishowe hata utajiri wake hakuona faida yake presha ya mawazo ikamuondoa
So chozi la ivan ndilo linalomsumbua na kumtafuna zari
Yaani mwacheni wala msiingilie. Hicho kibibi kimebarikiwa akili ya kusaka hela lakini akili inayoendana na umri wake hakina
Umeonaeeh mwenye watoto wake karidhika wao eti hawajaridhikaWatu wananifurahisha kweli.. unakuta mtu anakomalia watoto sio wa diamond kuwa hawajafanana nae... ila ukimuona yeye anaesema hivo hajafanana hata robo na baba ake.. wabongo wivu ni kitu kibaya sana
Copyright