NAWATAFUNA
JF-Expert Member
- Nov 14, 2019
- 13,286
- 24,001
Mambo ni"WAAH"
Ni awamu ya tano (Nyerere 1, Mwinyi 2, Mkapa 3, JK 4, Mzee baba 5) note: hakuna Rais aliyeongoza chini ya mihula miwili. Tunahesabu ni awamu ya 5 muhula wa pili.Tuko awamu ya sita mkuu...tumeingia hivi juzi
Mi basi nlikua na hesabu awamu kwa miaka mitano.ASA kama asingeshinda akampa mwingine ndo tungesema ya sita?Ni awamu ya tano (Nyerere 1, Mwinyi 2, Mkapa 3, JK 4, Mzee baba 5) note: hakuna Rais aliyeongoza chini ya mihula miwili. Tunahesabu ni awamu ya 5 muhula wa pili.
Yaani wao hawaangalii impact ya kofii olomide katika huo wimbo 😁😁😁Dah....TZ yote 'kusimama'...! Kwa kipi hasa! Umenikumbusha wakati Yanga wamepanga kumtangaza Senzo kulitoka kauli hii 'Nchi inaenda kusimama' .
We Li TZ lote hili unaweza vipi kulisimamisha..! Wapo wengi tu ambao wala hawamjui huyo Diamond...!
Hapo sielewi mkuu, labda tusubiri wajuzi au tusubiri siku mtu akiongozq muhula mmoja.Mi basi nlikua na hesabu awamu kwa miaka mitano.ASA kama asingeshinda akampa mwingine ndo tungesema ya sita?
Tuache unafk bwana nani hamjui mondi mimi sio shabiki wake ila all most watu wote ukitoa wale was vijijin sana wanamjuaDah....TZ yote 'kusimama'...! Kwa kipi hasa! Umenikumbusha wakati Yanga wamepanga kumtangaza Senzo kulitoka kauli hii 'Nchi inaenda kusimama' .
We Li TZ lote hili unaweza vipi kulisimamisha..! Wapo wengi tu ambao wala hawamjui huyo Diamond...!
Saw mkuuHuwezi nunua viwers. Hizi ni story za zamani wakati youtube hawajajitambua.
Siku hizi ukinunua viwers zitashuka faster na Chanel yako ina kuwa banned!
Ali Kiba apendi show off tu ana pesa kuliko Mo Dewji.Alikiba ndio namba moja balani Africa na ndio msanii mwenye pesa nyingi tanzania ..mnisamehe niko shinyanga vijijini
Konde boy ndio mpinzani wa Diamond kwa sasa.Nasikia Ali kiba yupo chimbo sasa hvi anataka kuja kuvunja hii Record