kurlzawa
JF-Expert Member
- Jan 23, 2018
- 16,703
- 20,606
Nyimbo za kuchezeka zote wanataja tu majina?Wewe ulitaka usikie kitu gani wakati ngoma Ni yakuchezeka
Nyimbo za kuchezeka zote wanataja tu majina?Wewe ulitaka usikie kitu gani wakati ngoma Ni yakuchezeka
Kipande alichoimba olomide.Olomide kaimba kipande gani umo?
kwani wote wanaopenda wanajua hiyo DOLEMIFASOLATIDO?Mkuu hivi unaweza hata tu kutaja do-re-mi????
Hivi ni nani aliyemshauri Konde Boy kuwa anaandika captions za kiingereza?
Mjerumani nafikiri
Kwani umesikiliza wimbo wote?Nyimbo za kuchezeka zote wanataja tu majina?
Habarini.
Huyu Kijana Imelazimika Nimsalimie “Shikamoo ” Hata Kama ninamzidi Umri.
Salaam Hii inakuja Baada Ya Kusikiliza “WAAAH” aliyo Mshirikisha Koffi.
Hili ni bonge moja la Sebene kwa Kila mpenda Sebene analazimika kumsalimia Diamond “Shikamoo ” Hata Kama Umemzidi Umri
SMH!!! Shabiki mkubwa wa Mond lakini Koffi kani disappoint sana, yani katoka Congo kuja Tz kwaajili ya kusample ngoma aliyoshirikishwa??? Anyways kama mwenye wimbo mwenyew kamuacha mm ni nani nihoji
Ushawahi sikiliza nyimbo za mopao lkin?Tofauti na kutaja majina sijasikia kitu cha maana
Fuatilia nyimbo zake huyo koffi usikie,ye anaingia na kikaratasi cha majina tuOLOMIDE kaimba au kataja majina au alilazimishwa?
Huyo koffi basi ni mtu wa kuimba saana,ni nyimbo chache huwa anaimba saana,yeye anaingiaga na list ya majina yake akina mose katumbi n.kkama wimbo wa "prakatumba, apapapapa apapapapa" ushawahi kukubamba na uliukubali vibaya mno afu huu unauponda eti hujasikia chochote zaidi ya majina, basi wewe tukusaidie kukuongezea kamtaji kidogo umalizie kununua vifaa maana UCHAWI unakufaa zaidi...
Labda wewe humjuiFuatilia nyimbo zake huyo koffi usikie,ye anaingia na kikaratasi cha majina tu
Sent from my SM-G950F using JamiiForums mobile app
Mopao ni businessman....masaa 15 yaliyopita kaachia mchuma mpya.."Danse ya ba Congolois"....akitumia kionjo chake cha "BIYO..BIYO..NGANGASHUU..BOSS YA MBOKA"Huyo koffi basi ni mtu wa kuimba saana,ni nyimbo chache huwa anaimba saana,yeye anaingiaga na list ya majina yake akina mose katumbi n.k
Sent from my SM-G950F using JamiiForums mobile app