😂😂😂Kama namuona vile Harmo-Mondi anavyoweweseka kusikia mwenzake katoa dude
Habarini.
Huyu Kijana Imelazimika Nimsalimie “SHIKAMOO” Hata Kama ninamzidi Umri.
Salaam Hii inakuja Baada Ya Kusikiliza “WAAAH” aliyo Mshirikisha Koffi.
Hili Ni Bonge Moja La Sebene kwa Kila Mpenda Sebene Analazimika kumsalimia Diamond “SHIKAMOO” Hata Kama Umemzidi Umri
Habarini.
Huyu Kijana Imelazimika Nimsalimie “SHIKAMOO” Hata Kama ninamzidi Umri.
Salaam Hii inakuja Baada Ya Kusikiliza “WAAAH” aliyo Mshirikisha Koffi.
Hili Ni Bonge Moja La Sebene kwa Kila Mpenda Sebene Analazimika kumsalimia Diamond “SHIKAMOO” Hata Kama Umemzidi Umri
Andika Allikiba.Sisi mashabiki wa harmonize tunaandika nini juu ya hiyo ngoma
Anglophone?Kuna watu walitegemewa watajibiwa na nyimbo zao naona Mondi kapiga kimya kawakwepa.
Mondi ni mfanya biashara,ukizingatia sasa hivi ana utitiri wa show ktk nchi za Anglophone Countries ,kaachia nyimbo ambayo inaendana na nchi hizo.
Kaimbe USHAMBA&NIBAKISHIE, si nasikia ndo funga mwaka yenu🤣.Mwingine nae nasikia anajiandaa kwenda TANDAHIMBA kufanya shoo ya twist😂😂.Yani na kumuita koffi koote mara mia alioimba na fally ipupa mara mia2 mbagala au kamwambie
NIBAKISHIE & USHAMBA zitakufaa zaidi🤣🤣Bora katupunguza machungu ya tuzo za Grammy
🤣 🤣 🤣Sisi mashabiki wa harmonize tunaandika nini juu ya hiyo ngoma
MediocreKaimbe USHAMBA&NIBAKISHIE, si nasikia ndo funga mwaka yenu.Mwingine nae nasikia anajiandaa kwenda TANDAHIMBA kufanya shoo ya twist.
Habarini.
Huyu Kijana Imelazimika Nimsalimie “SHIKAMOO” Hata Kama ninamzidi Umri.
Salaam Hii inakuja Baada Ya Kusikiliza “WAAAH” aliyo Mshirikisha Koffi.
Hili Ni Bonge Moja La Sebene kwa Kila Mpenda Sebene Analazimika kumsalimia Diamond “SHIKAMOO” Hata Kama Umemzidi Umri
Habarini.
Huyu Kijana Imelazimika Nimsalimie “SHIKAMOO” Hata Kama ninamzidi Umri.
Salaam Hii inakuja Baada Ya Kusikiliza “WAAAH” aliyo Mshirikisha Koffi.
Hili Ni Bonge Moja La Sebene kwa Kila Mpenda Sebene Analazimika kumsalimia Diamond “SHIKAMOO” Hata Kama Umemzidi Umri