tweenty4seven
JF-Expert Member
- Sep 21, 2013
- 15,672
- 19,187
Wachawi hamna mana
Hellow JF,
Diamond Platnumz kwenye hili limenisikitisha sana hapa namuona Diamond alikosa utu nakushindwa kutoa fear kwa Ruge hatakama walikuja kuwa naugomvi lakn Ruge alikua na mchango mkubwa sana kwa Diamond hapa alipofika leo kituchochote chenye mafanikio mwanzo huwa mgumu sana ikumbukwe bila CLOUDS Media Diamond huwenda asingefika hapa alipofika sasa.
Mchango mkubwa wa Kaka yake Romy Jonson kufanya kazi CLOUDS katika kipindi Cha music na aliponza kupiga nyimbo ya diamond (NENDA KAMWAMBIE) nakupewa barak zote kutoka kwa Ruge kushiriki FIESTA hapa ndio mwanzo wa Safari yake ya music namafanikio yake kwa ujumla.
Nimepata msukumo wakuandika haya nilipopata wasaa wakuisikiliza wimbo mpya wa Diamond ft Koffi Olomide Tittle Waah!!! hakika sikusikia Ruge lakin Kusaga alisikia naweka nukta hapa.
Uzi tayari.