STUNTER
JF-Expert Member
- Dec 15, 2015
- 13,077
- 17,208
Diamond platnumz ni moja ya wasanii wa Bongo fleva
ambao ndoto zao kubwa ni kuhustle kuufikisha muziki
wa Bongo katika sehemu ambazo ilikuwa ni ndoto
kufika. Tukiwa tunasubiri ujio wa ngoma yake mpya
na Neyo, Diamond, Ludacris, Swizz na wengine kibao
waungana.
Siku ya ijumaa waliungana pamoja kumtakia heri ya siku ya kuzaliwa Usher kupitia kurasa zao za Instagram. Siku ya Jana Diamond aliungana na wasanii wakubwa kama ludacris, Swizz Beatz na wengine kumtakia heri
ya kuzaliwa Usher, na kwa upande wa Diamond platnumz yeye aliandika hivi, “Happy Birthday Bro…
Can’t wait for our Big day! @usher,”
so tusubiri makubwa kwenye hili.
ambao ndoto zao kubwa ni kuhustle kuufikisha muziki
wa Bongo katika sehemu ambazo ilikuwa ni ndoto
kufika. Tukiwa tunasubiri ujio wa ngoma yake mpya
na Neyo, Diamond, Ludacris, Swizz na wengine kibao
waungana.
Siku ya ijumaa waliungana pamoja kumtakia heri ya siku ya kuzaliwa Usher kupitia kurasa zao za Instagram. Siku ya Jana Diamond aliungana na wasanii wakubwa kama ludacris, Swizz Beatz na wengine kumtakia heri
ya kuzaliwa Usher, na kwa upande wa Diamond platnumz yeye aliandika hivi, “Happy Birthday Bro…
Can’t wait for our Big day! @usher,”
so tusubiri makubwa kwenye hili.