warumi
R I P
- May 6, 2013
- 16,273
- 18,378
Kupitia ukurasa wake wa Instagram , mwanamuziki lady jaydee amepost list ya wageni waliobook VIP table kwenye siku yake ya kusherekea miaka 20 toka aanze muziki , ambayo inafanyika wiki hii tarehe 4 pale Mlimani City.
List yenye utata kabisa imeangukia kwa Diamond ambapo awali hawakuwa na mahusiano ya kihivyo na jide , huku wadhamin wa event hiyo ni clouds media ambao pia ni maadui na domo kwa sasa. Mbona ijumaa kutanoga, wambea tuwahi meza za mbele turekodi matukio, mastaa wakijamba tu tunapost
Naona hii event itakua ni event ya aina yake , ukizingatia idadi ya wagen waalikwa na watu mashuhuri walio buy ticket kuhudhuria kwenye event hiyo
List yenye utata kabisa imeangukia kwa Diamond ambapo awali hawakuwa na mahusiano ya kihivyo na jide , huku wadhamin wa event hiyo ni clouds media ambao pia ni maadui na domo kwa sasa. Mbona ijumaa kutanoga, wambea tuwahi meza za mbele turekodi matukio, mastaa wakijamba tu tunapost
Naona hii event itakua ni event ya aina yake , ukizingatia idadi ya wagen waalikwa na watu mashuhuri walio buy ticket kuhudhuria kwenye event hiyo