Msanii nguli wa kimataifa diamond platnumz a.k.a baba lao and CEO wa WASAFI MEDIA akihojiwa na sports arena baada ya kurudi kutoka misri kwenye tuzo za CAF mahojiano Kama ifuatavyo
Mtangazaji: kwanii una connection nyingi za kufanya show kubwa
Diamond:Africa Kuna wasanii wengi Sana na niwazuri lakini asilimia kubwa sio performer ndo maana nipata nafasi nyingi Kama hii hii inakuwa kwangu Mara yangu ya pili kufanya show kwenye tuzo za soka CAF.
Mtangazaji: baadhi ya watu wanasema unajiwakilisha wewe
Diamond: nikiwa na tambulishwa watanitaja jina langu lakini pia na jina la nchi yangu ukienda baadhi ya nchi za nje utaheshimika cos umetoka kwenye nchi yenye diamond.
Mtangazaji: unampango wowote wa kuwa na team yako ya mpira
Diamond: huo mpango nilikuwa ninao muda mrefu lakini focus yangu kwanza ni kujenga kituo Cha kukuza vipaji ambapo muda si mrefu tutaumaliza kwasababu process yake ni kubwa na ili wazo nilipewa na e'too.
Kuna wataalamu wa soka teyali tumeshawapa kwaajili ya kuendesha kituo hiko lakini pia lazima tuwe na facilities nzuri baada ya kumaliza hili ndo nitaamua kununua team ambayo teyali ipo ligi kuu na tutabadilisha jina lake litaitwa WASAFI football club sitaki nianze from scratch kabisa.
Mtangazaji: sasa hiv wasafi fm inasikika maeneo machache una mpango gani kufikia mikoa mingi
Diamond: wakati nimeifungua Wasafi fm nilitaka isikike maeneo machache na tuahakikishe tumeteka kwelikweli ili tutapoanza kutambulisha mikoani tutuwe kwa kishindo sio kinyonge na sema kweli teyali wasafi imefanya vizuri Sana na tumefanikiwa lengo letu kuanzia j'3 ya wiki moja ijayo tutaanza kutambulisha mikoa itayoanza WASAFI FM kusikika na hatutaki iwe kiholela watu hawajanizoea hivyo so tutambulisha kwa namna tofauti na kwa ukubwa.
Tumeichagua siku hiyo ya j'3 cos ni siku ambayo nitakuwa free baada ya hapo nitakuwa busy cos nitakuwa ninashow Nigeria kwenye tuzo za SOUNDCITY baada ya happy nitakuwa na show ufaransa na visiwa vya Madagascar, Mayotte then ninashowa Los Angeles Marekani baada ya hapo Nina European tour ambayo nitafanya kwwnye miji mingi.
Mtangazaji: kwanii una connection nyingi za kufanya show kubwa
Diamond:Africa Kuna wasanii wengi Sana na niwazuri lakini asilimia kubwa sio performer ndo maana nipata nafasi nyingi Kama hii hii inakuwa kwangu Mara yangu ya pili kufanya show kwenye tuzo za soka CAF.
Mtangazaji: baadhi ya watu wanasema unajiwakilisha wewe
Diamond: nikiwa na tambulishwa watanitaja jina langu lakini pia na jina la nchi yangu ukienda baadhi ya nchi za nje utaheshimika cos umetoka kwenye nchi yenye diamond.
Mtangazaji: unampango wowote wa kuwa na team yako ya mpira
Diamond: huo mpango nilikuwa ninao muda mrefu lakini focus yangu kwanza ni kujenga kituo Cha kukuza vipaji ambapo muda si mrefu tutaumaliza kwasababu process yake ni kubwa na ili wazo nilipewa na e'too.
Kuna wataalamu wa soka teyali tumeshawapa kwaajili ya kuendesha kituo hiko lakini pia lazima tuwe na facilities nzuri baada ya kumaliza hili ndo nitaamua kununua team ambayo teyali ipo ligi kuu na tutabadilisha jina lake litaitwa WASAFI football club sitaki nianze from scratch kabisa.
Mtangazaji: sasa hiv wasafi fm inasikika maeneo machache una mpango gani kufikia mikoa mingi
Diamond: wakati nimeifungua Wasafi fm nilitaka isikike maeneo machache na tuahakikishe tumeteka kwelikweli ili tutapoanza kutambulisha mikoani tutuwe kwa kishindo sio kinyonge na sema kweli teyali wasafi imefanya vizuri Sana na tumefanikiwa lengo letu kuanzia j'3 ya wiki moja ijayo tutaanza kutambulisha mikoa itayoanza WASAFI FM kusikika na hatutaki iwe kiholela watu hawajanizoea hivyo so tutambulisha kwa namna tofauti na kwa ukubwa.
Tumeichagua siku hiyo ya j'3 cos ni siku ambayo nitakuwa free baada ya hapo nitakuwa busy cos nitakuwa ninashow Nigeria kwenye tuzo za SOUNDCITY baada ya happy nitakuwa na show ufaransa na visiwa vya Madagascar, Mayotte then ninashowa Los Angeles Marekani baada ya hapo Nina European tour ambayo nitafanya kwwnye miji mingi.