Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 17,378
- 21,070
- Thread starter
- #61
Viongozi wa kule wanaleta maendeleo kwa wakati ila kwa hapa TZ bora ya Mondi kuliko viongozi wenye dhamana.Jay z kafanya mangapi kule!!! Umeona kuna fala yeyote kaomba jay z apewe uongozi!!!! Aisee hii ngozi nyeusi tunaiaibisha sisi wenyewe2 mbona tuna uwezo wa kufikiri ila2 ndo kama hivi