Diamond Platnumz hili la kumfananisha demu (msichana) wako na Yesu (Mungu) utuombe radhi wakristo na utubu au wimbo wake ufungiwe na BASATA

What is caring?

Na ikiwa Diamond anamuona Yesu kama mtu tu, Mwanafalsafa, Mwalimu, lakini si Mungu, wewe una malaka gani ya kumkataza kumtaja hivyo?

Una uhuru gani wa kumuwekea Diamond mipaka ya kuandika mashairi yake kwamba asimtaje Yesu kama mtu tu?

Uhuru huo unaupata wapi?

Na kama kweli huyo Yesu ni Mungu, na hapendi kuimbwa hivyo, kwa nini asijitetee mwenyewe kwa kumpatiliza Diamond, kwa nini wewe uhitaji kumtetea Mungu mwenye uwezo wote?

Huoni kwamba hapo unamfanya Mungu wako kuwa kinyago kisichoweza kujitetea?

Mimi leo nikikwambia Yesu alikuwa tapeli tu. Kwa sababu aliwaambia watu atarudi kabla hawajafa, watu wakauza mali zao wakimsubiri arudi. Na kwamba
leo zaidi ya miaka 2000 hajarudi, utanibishia?

Utabisha kwamba Yesu, kwa mujibu wa Biblia, hakuwa tapeli?
Ufahamu wangu na wako ni mbingu na ardhi. So sihitaji kubishana nawe.
 
Try mohammad
Unamlaumu Diamond kwa kumtaja Yesu, halafu wewe unamtaja Muhammad.

Muhammad mbona Charlie Hebdo washamchora katuni.

Umekubali Yesu tapeli?
Hizi hadithi za Yesu na Muhammad zote ni hadithi za watu, kuandika tamaduni zao, hakuna mtume wala Mungu.

Na kama wewe Mdengereko umelishwa matango pori kuamini Yesu ni Mungu au Muhammad ni mtume wa Mungu, ukakubali kuelekezwa Kibla, una ufinyu wa mawazo.

Watu wanaweza kukuchinja kama kuku umeelekezwa Kibla.

Au kukuambia Wayahudi ni taifa teule la Mungu.

Ukaamini kabisa kwamba Mungu mwenye uoendo wote anaweza kupendelea taifa fulani liwe taifa lake teule!

Bika kujua kwamba huo wote ni ukoloni wa kidini.

Umechotwa mawazo uwe mtumwa wa watu kwa gia ya dini.
 
Kiburi cha pesa kitamponza,Mungu hadihakiwi hata siku moja,ninatabiri kuanguka kwake very soon...
 
Ufahamu wangu na wako ni mbingu na ardhi. So sihitaji kubishana nawe.
Hata hapo unavyonijibu umeshabishana nami.

Nakubali ufahamu wangu na wako umetofautiana sana.

Kwa sababu huna unachojua kuhusu Falsafa ya Dini.

Nimekuuliza unaweza kunikanusha na kusema Yesu si tapeli?

Yesu aliwaambia watu atarudi kabla hawajafa. Miaka zaidi ya 2000 iliyopita.

Watu wakaona hamna haja ya kufanya kazi. Hamna haja ya kulima. Yesu anarudi karibuni.

Wakamsubiri weee, wakaanza kufa mmoja baada ya nwingumine.

Yesu harudi.

Mpaka leo hajarudi.

Sasa hapo nikikwambia Yesu kawatapeli hao watu utabisha?

Umeshindwa kujibu hoja hii.

Kwa sababu huna unachokielewa kuhusu haya mambo.

Ni sawa uelewa wako na wangu tofauti sana.

Kwa sababu huna unachokijua kuhusu haya mambo ya dini.

Unafuata kwa style ya "bendera kufuata upepo" tu.
 
Nimeusikiliza wimbo mpya wa Diamond Platnumz uitwao ongeza kiukweli anatakiwa atafute mhariri wa mashairi na mistari yake. Kwenye ngoma ya ongeza anasema "we ndo wangu yesu mkombozi sa mbona unaniacha mwenyewe" anamuongelea mwanamke/ msichana/demu wake.

Kwa hili Diamond hapana umeenda mbali mno na umetukosea Wakristo. Hivi mkristo aimbe wimbo amljnganishe demu wake na Mtume Mohammad au Allah atakuwa sawa?

Kwetu Wakristo Yesu ni Mungu kweli, mtu kweli Yohana Mtakatifu 1:1-10. Yesu ni Mungu mwana katika nafsi tatu za Mungu zinazofanya Utatu Mtakatifu.

Yesu aliacha kiti chake cha nzi kule mbinguni akauvaa mwili akashuka duniani ili atufie na kutukomboa sisi na dhambi zetu. Alisulubiwa akafa, akazikwa siku ya tatu akafufuka na sasa ameketi mkono wa kuume wa Mungu Baba na hapa tulipo tunasubiri arudi aje awahukumu walio hai na wafu. Maana ameahidi anakwenda kwa Baba kutuandalia makao na atakuja kutuchukua ili alipo nasi tuwepo. Je ni Yesu huyu wa kumlinganisha na demu wake kweli Diamond Platnumz?

Yesu huyu ambaye alikuwepo kabla ya ulimwengu kuumbwa ambaye maandiko yanasema vitu vyote viliumbwa kwa jina lake na pasipo yeye hakuna kilichoumbwa? Huyu ndiyo wa kumlinganisha na demu.


Ni kweli sanaa inahitaji ubunifu lakini siyo kwa kiwango hiki Diamond aombe radhi kwa kweli au wimbo wake ufungiwe na BASATA.
Moja ya masharti yao ili waendelee kuwa maarufu ni kukufuru majina matatifu kama Yesu Kristo.

Huyu kijana anatakiwa kuombewa, over
 
Wakristo sie wapole sana ingekua waislamu muda huu kijana angekua keshaharibiwa sura na vitisho kibao vya kusomewa albadir.

Domo mpuuzi halafu mdini balaa hapo ndipo kaonyesha rangi yake halisi.
Sio wapole, hatujali
 
Unamlaumu Diamond kwa kumtaja Yesu, halafu wewe unamtaja Muhammad.

Muhammad mbona Charlie Hebdo washamchora katuni.

Umekubali Yesu tapeli?
Hizi hadithi za Yesu na Muhammad zote ni hadithi za watu, kuandika tamaduni zao, hakuna mtume wala Mungu.

Na kama wewe Mdengereko umelishwa matango pori kuamini Yesu ni Mungu au Muhammad ni mtume wa Mungu, ukakubali kuelekezwa Kibla, una ufinyu wa mawazo.

Watu wanaweza kukuchinja kama kuku umeelekezwa Kibla.

Au kukuambia Wayahudi ni taifa teule la Mungu.

Ukaamini kabisa kwamba Mungu mwenye uoendo wote anaweza kupendelea taifa fulani liwe taifa lake teule!

Bika kujua kwamba huo wote ni ukoloni wa kidini.

Umechotwa mawazo uwe mtumwa wa watu kwa gia ya dini.

Nimelaumu KUTAJA? Acha kufanya spinning. Soma tena mada kuu
 
Hata hapo unavyonijibu umeshabishana nami.

Nakubali ufahamu wangu na wako umetofautiana sana.

Kwa sababu huna unachojua kuhusu Falsafa ya Dini.

Nimekuuliza unaweza kunikanusha na kusema Yesu si tapeli?

Yesu aliwaambia watu atarudi kabla hawajafa. Miaka zaidi ya 2000 iliyopita.

Watu wakaona hamna haja ya kufanya kazi. Hamna haja ya kulima. Yesu anarudi karibuni.

Wakamsubiri weee, wakaanza kufa mmoja baada ya nwingumine.

Yesu harudi.

Mpaka leo hajarudi.

Sasa hapo nikikwambia Yesu kawatapeli hao watu utabisha?

Umeshindwa kujibu hoja hii.

Kwa sababu huna unachokielewa kuhusu haya mambo.

Ni sawa uelewa wako na wangu tofauti sana.

Kwa sababu huna unachokijua kuhusu haya mambo ya dini.

Unafuata kwa style ya "bendera kufuata upepo" tu.
Sijadili hoja dhaifu. Nishavuka hizo level za toddlers
 
Kwanza yesu si mungu ..wala mwana wa mungu...yesi ni mtume miongoni mwa mitume wa mungu ni mwanaadam kama sisi tu ....
 
Ni makufuru kumlinganisha Yesu na girl friend wake, lakini pia ni makufuru kumwita Yesu Mungu Muumba wa mbingu na dunia.

Soma Mathayo 16:16,17 Simoni Petro akajibu: “Wewe ndiye Kristo, Mwana wa Mungu aliye hai.”17 Yesu akamwambia: “Mwenye furaha ni wewe, Simoni mwana wa Yona, kwa sababu mwili na damu havikukufunulia hilo, bali Baba yangu aliye mbinguni ndiye aliyekufunulia.

Yohana 14; 28 Mlisikia nikiwaambia, ‘Ninaenda, nami nitakuja tena kwenu.’ Kama mngenipenda, mngeshangilia kwamba ninaenda kwa Baba, kwa maana Baba ni mkuu kuliko mimi.
Ukristo umeletwa na wakoloni na mababu zetu wamekula viboko kwa kupokea ukristu. Ulitulegeza tutawalike
 
Mimi mbona wala sioni tatizo, anadhihirisha tu kwamba Ukristo ni dini ya amani upendo na uvumilivu, ndio maana pia utamsikia anaimba haleluya, au hata kuonekana amevaa msalaba n.k.

Ni wazi kuwa anatambua taabu au ghadhabu anazoweza kukumbana nazo iwapo atakuwa akiwataja hovyo MITUME, MANABII na VIONGOZI wa imani yake mwenyewe.

Dini ni kuelimisha na kuelekeza Mtu namna sahihi ya kufanya jambo ambalo unadhani amekosea na sio ghadhabu maana wa kuhukumu yupo.
Ukristu uliletwa na wakoloni kwa lengo la kutawala, unabisha?
 
Wakristo sie wapole sana ingekua waislamu muda huu kijana angekua keshaharibiwa sura na vitisho kibao vya kusomewa albadir.

Domo mpuuzi halafu mdini balaa hapo ndipo kaonyesha rangi yake halisi.
Wala aiowapole tu 3gundua ter3 is nothing like Yesu ni mfumo tu wa kundi flsni linalotucontrol
 
Mtoa mada acha udini, umejaribu kuruka baadhi ya vitu ili kuleta udini!! Emu rudia kusikiliza mashairi hayo nahisi utaelewa zaidi, kukurupuka sio kuzuri!!
Usitake kuleta mambo ya facebook , huku ni jamii forum
Yeye muislamu angemtaja Issa bin Mariamu basi..Yesu wao wa uwongo
 
Back
Top Bottom