Nyenyere
JF-Expert Member
- Sep 9, 2010
- 14,769
- 10,650
Ufahamu wangu na wako ni mbingu na ardhi. So sihitaji kubishana nawe.What is caring?
Na ikiwa Diamond anamuona Yesu kama mtu tu, Mwanafalsafa, Mwalimu, lakini si Mungu, wewe una malaka gani ya kumkataza kumtaja hivyo?
Una uhuru gani wa kumuwekea Diamond mipaka ya kuandika mashairi yake kwamba asimtaje Yesu kama mtu tu?
Uhuru huo unaupata wapi?
Na kama kweli huyo Yesu ni Mungu, na hapendi kuimbwa hivyo, kwa nini asijitetee mwenyewe kwa kumpatiliza Diamond, kwa nini wewe uhitaji kumtetea Mungu mwenye uwezo wote?
Huoni kwamba hapo unamfanya Mungu wako kuwa kinyago kisichoweza kujitetea?
Mimi leo nikikwambia Yesu alikuwa tapeli tu. Kwa sababu aliwaambia watu atarudi kabla hawajafa, watu wakauza mali zao wakimsubiri arudi. Na kwamba
leo zaidi ya miaka 2000 hajarudi, utanibishia?
Utabisha kwamba Yesu, kwa mujibu wa Biblia, hakuwa tapeli?