Jaji Mfawidhi
JF-Expert Member
- Feb 20, 2016
- 14,037
- 20,401
bora kusoma kuliko kutosoma kabisa, kwahiyo bora ukawa na elimu usijitambue kuliko kutokuwa na elimu kbisa, ndio hao JIWE kaenda kigoma anawaambia atawapelekea dremliner, yaani hata jiwe mwenyewe am sure hajui biashara ya ndege na wao walivyo wajnga wanashangilia tu,Wewe ushapotezwa na ukosefu elimu unakusumbua. Elimu sio kwenda shule, unaweza ukawa na Master degree lakini ukawa bado hujitambui.