DIAMOND platnumz azidi kungara sasa anamiliki kijibend kipya kidogo

mwanaMtata

JF-Expert Member
Oct 18, 2014
2,393
1,432

Huyu jamaa anajua analofanya na yuko very serious katika kazi yake ya kufungua na kufyatua vibendi. Bog
Up
 
Kijibend ndio nini..? Kijana sio msanii tu ni mfanya biashara na ukishakuwa mfanya biashara lazima uwe mbunifu,, so Diamond ni Mbunifu kwenye biashara ya Muziki
Mbunifu mpaka kufungua vijibendi vidogo kama icho alichompa hamisa mobeto akakiendeleze. Kibendi kina msanii mmoja tuu
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom