pandagichiza
JF-Expert Member
- Jul 9, 2013
- 4,578
- 2,958
We
Weka kwenye calculator ya TRAKwenye Bei umetudanganya mzeeView attachment 1854211
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Weka kwenye calculator ya TRAKwenye Bei umetudanganya mzeeView attachment 1854211
DuuuhHaya uje badae Lodge kwangu nikutie kojo dawa
Haahaahaambona rangi yake kama imepigiwa sido
Hapana sio g_wagon mkuuWewe wewe si ulishasemaga kuna G-Wagon za kichina zinatumiwa na jeshi hapa bongo kwenye ule uzi wako wa Volkswagen?..au nimechanganya?.
😳😳😳😳 kapigwa Ban.. naona hapendi watu wanafiki sana.. hii nchi witnessj hata siku umevuta X6 yako watu watasema unauza chini.. watu hawana maana kabisa.. wana kela roho mbaya mbaya tu
Ukitaka kujua mtanzania roho yake embu pata mafanikio kidoogo ...kapigwa Ban.. naona hapendi watu wanafiki sana.. hii nchi witnessj hata siku umevuta X6 yako watu watasema unauza chini.. watu hawana maana kabisa.. wana kela roho mbaya mbaya tu
We acha sasa kwanini kamsemelea ...kwani ye ni mgeni humu?
Inasikitisha sana, ila acha tupambane. Dawa ya wenye roho mbaya ni kuwanyoosha tu kwa vitendo.. ni kama kelele za chura tu hizoUkitaka kujua mtanzania roho yake embu pata mafanikio kidoogo ...
Yaan ukitaka kujua mtanzania analoga bila kupaa, pata kitu ambacho hana utajua hujui
Mimi nawaona tu kitaa, mtu anakuchukia tu bila sababu ha ha ha
Muwe mnaangalia na aina ya nguo za kuvaa na mauombo yenuHii tairi watu wanadai kipara sijui picha wameikota wapi.
View attachment 1854387
Account zao insta si unazijua nenda kawambie, mimi kuhusu uvaaji wao haunihusu, wewe kama unakukera wana Account insta waambie,husikae na kitu moyoni utajitengenezea presha.Muwe mnaangalia na aina ya nguo za kuvaa na mauombo yenuView attachment 1854909View attachment 1854910
Usipanic dada angu. Ni maoni tu huko uliko itoa kawaambie bahati nzuri majina yenu siyajui piaAccount zao insta si unazijua nenda kawambie, mimi kuhusu uvaaji wao haunihusu, wewe kama unakukera wana Account insta waambie,husikae na kitu moyoni utajitengenezea presha.
Dawa ya mwanga ni kutoboa tu...Inasikitisha sana, ila acha tupambane. Dawa ya wenye roho mbaya ni kuwanyoosha tu kwa vitendo.. ni kama kelele za chura tu hizo
Basi tutoboe tu kama nakuona vile ndani ya mnyamaaa X7 alpina 🙂 ... waueeeDawa ya mwanga ni kutoboa tu...
Sawa mama yangu, najua stress tu hizi za uzeeni akupazo baba yangu.Usipanic dada angu. Ni maoni tu huko uliko itoa kawaambie bahati nzuri majina yenu siyajui pia
Kwa style hii wale wenye vipaji vyao vya chuki lazima wachukie, maanake kumchukia mtu bila sababu ni kipaji.