magnifico
JF-Expert Member
- Jan 14, 2013
- 7,429
- 13,172
Hutakiwi kushangaa sana ndio Utanzania wenyewe huo.Sio kwamba ulipaswa kuhuzunika kwa huyu kijana mtanzania kutokuwepo humo?
Hutakiwi kushangaa sana ndio Utanzania wenyewe huo.Sio kwamba ulipaswa kuhuzunika kwa huyu kijana mtanzania kutokuwepo humo?
Wimbo Hallelujah wa Diamond Platnumz wapata shavu kwenye filamu ya Coming 2 America, itakayo achiwa tarehe 5 March 2021.
Source:SnS.
Yaani naanza kucheka hata kabla ya kuiona muvi yenyewe jamaa wanajua sana
Huu uvumi sijui nani aliuanzisha.Jana imeangalia hii movie na hamkuwemo wimbo wowote wa Diamond.
Wimbo ulio kuwemo ni wa Davido. Na nikaangalia list ya nyimbo mwishoni mwa movies hakuna mahali Diamond ametajwa.
Msidanganye haukuwemo
Hapo awali ilisemekana allan kingdom rapper mcanada mwenye asili ya Tanzania nyimbo yake itakua mojawapo ya soundtrack za coming to america 2,labda mondi ndio alitaka kutembelea nyota ya jamaaJana imeangalia hii movie na hamkuwemo wimbo wowote wa Diamond.
Wimbo ulio kuwemo ni wa Davido. Na nikaangalia list ya nyimbo mwishoni mwa movies hakuna mahali Diamond ametajwa.
Msidanganye haukuwemo
Sawa mkuu.Hutakiwi kushangaa sana ndio Utanzania wenyewe huo.
huujuhi mziki mi ngoma nnayoijua ya mond ni hiyo tu na sitaki kujua zaidiDah 🤣🤣 kati ya nyimbo za Mond ambazo sizikubali huo ndo wa kwanza
Ili nigundue nini sasa lol?Sio kwamba ulipaswa kuhuzunika kwa huyu kijana mtanzania kutokuwepo humo?
Hapo awali ilisemekana allan kingdom rapper mcanada mwenye asili ya Tanzania nyimbo yake itakua mojawapo ya soundtrack za coming to america 2,labda mondi ndio alitaka kutembelea nyota ya jamaa
Huna muda wa kufurahia kufunguka kwa soko la vipaji vya watanzania kwenye filamu kubwa za nje?Ili nigundue nini sasa lol?
Wala hata hiyo nyimbo yenyewe kwenye iyo movie haisikiki kabisaking kiba nyimbo yake ya mediocre ipo kwenye fast and furious 9 na hutamsikia akitafuta kiki, hail to the king.
Tuambie hapahapaSkytz kajaribu kuelezea kilichotokea kwenye simulizi za sauti labda muende kule ndo mtaelewa
wakuu tufahamisheniPia PFunk ataendelea kulipwa miaka yote na Disney
Yaani mtu ahuzunike kwa kick za kikumaaa kwasababu tu kaifanya mtz, fala Sana we jamaa , halafu utakuwa unalipwa kiduchuu Sana kwa hizo post zako za kichawaSio kwamba ulipaswa kuhuzunika kwa huyu kijana mtanzania kutokuwepo humo?
Tatizo ninnyie chawa zake hivi huwa hamumconsult mnapotaka kupost hivi viutumbo utumbo vyenu? Mnamzalilisha tu huyo bwana wenuVijana hizi chuki za ajabu namna hii mnazitolea wapi?! Ni wapi Diamond alipothibitisha nyimbo zake kutumika kwenye hiyo movie?!