likandambwasada
JF-Expert Member
- May 27, 2015
- 5,402
- 6,072
Sihudhurii ng'o
Bi Dada upo,Amani ya Mwenyezi MUNGU IWE JUU YAKO..."Amuharika" ndiyo nini?
Punguani wahed.
Nakuheshimu jifunze kuwa mstaharabu Mtume wetu hakuwa na haraka ya kutoa matusi hivyo."Amuharika" ndiyo nini?
Punguani wahed.
Kazi mods kuedit mi ilimradi ujumbe ufike na umefika.Mkuu badilisha title basi haya mambo ya 'kumuharika' waachie wadogo zako wa darasa la pili
Kama nakuona vile mstari wa mbele ukisererebuka sisiemu mbele kwa mbele.....!Hata wngekuwa Wanatoa na hela nisingeenda
Send by Nokia 3310 from mbalizi-mbeya
Nakuheshimu jifunze kuwa mstaharabu Mtume wetu hakuwa na haraka ya kutoa matusi hivyo.
Mtume Ni kiigizo chema Ulimwenguni.
Pardon me!
Hakuna kitu sikipendi katika maisha yangu kama ccm... Weka bomu na ccm nachagua bomu, bomu linaweza kulipuka nikanusurika lakini sio ccmKama nakuona vile mstari wa mbele ukisererebuka sisiemu mbele kwa mbele.....!
Amebadirisha. Sasa ameandika "amuarika".Mkuu badilisha title basi haya mambo ya 'kumuharika' waachie wadogo zako wa darasa la pili
AmebadirishaAmebadirisha. Sasa ameandika "amuarika".
Mstaharabu= mstaarabuNakuheshimu jifunze kuwa mstaharabu Mtume wetu hakuwa na haraka ya kutoa matusi hivyo.
Mtume Ni kiigizo chema Ulimwenguni.
Pardon me!
TUMWACHE kijana apige pesa mda wake ndo huu,mi niko very happy kwa anayojishughulisha nayo ni bampa to bampa
@DiamondKaranga pakiti moja shilingi Mia hiizi...
LADIES AND GENTLEMEN JUS WANTED TO LET YOU KNOW THAT'''
TAREHE 05/08/2017 PALE TAIFA MGENI RASMI ATAKUWA MKUU WA NCHI THE MAIN MAN, MR PRESIDENT JOHN POMBE MAGUFULI....NAAMINI MPAKA SASA HUNA TENA WASIWASI JUU YA SWALA LA USALAMA...NASEMAJE [HASHTAG]#TWENZETUTAIFA[/HASHTAG] KIINGILIO BUREE!!!
Diamond Platnumz said.
Una maneno kama wale wamama wa magomeni au tandaleKama kweli Mh. rais ataitikia wito huu atakuwa na matatizo ya akili. Mtu mzima (sizungumzii mtu govi/Muhaya) kwenda kuangalia sarakasi za kitoto na muziki wa karaoke ni ujinga tu na upotezaji muda.
Unataka akae ofisini kimya2kampeni magu ameanza mapema sana.