Diamond Platnumz ameshirikishwa kwenye album mpya ya Alicia Keys

kwanini utumie nguvu kuwaambia watu yeye ni zaidi ya wengine!!!!kwani watu hawaoni!!

angalia uzi comment ya pili na ya tatu wameishaingizwa kiba na kondeboy,mpaka unashangaa!!!!wamefata nini hapa!!!!
basi ngoja tuweke list hivi
1 konde boy
2 Ali kiba
3 Daimond

hapo vipi umefurahi eeh
 
basi ngoja tuweke list hivi
1 konde boy
2 Ali kiba
3 Daimond

hapo vipi umefurahi eeh

siko hapa kufurahi wala kununa ndugu yangu.

tabia ya mond anafanya mambo yake nyinyi wadananda mnakuja kumfanyia benchmark na watu wengine sio fare.
mond kama mond anastahili kusifiwa tu azidi kwenda mbele zaidi.
 
siku mtapojua kiba ametengeneza hit na rihanna ndio mtaona hii habari ni upuuzi
 
Nchi hii ina kizazi chenye hasara sana, yaani matabaka ya monopoly duniani huwa tunayajenga wenyewe.

Ndio maana mmoja ana trillion 100 mfukoni mwingine hana hata 100.

Yaani wstu wasifanye muziki Kwasababu eti wataonekana wanashindana na mtu mwingine.

Mwisho wa siku kuimba na hawa wamarekani binafsi huwa naona kama tu kutimiza ndogo yako labda ulipenda kufanya kazi na fulani, ila haina manufaa kivile.

Burnaboy muziki wake umetoboa kavukavu. Kafanya interview kwenye shows kubwa sana US kama Daily Show na Jimmy Kimmel

So, binafsi sioni sababu ya wasanii kulazimisha saaana na kuwa frustrated.

Unatumia milioni 30 kugharamika video na audio, then show unabanana humuhumu na kina Msaga sumu

Kufanya show jukwaa moja na msaga sumu haina maana umelipwa nae sawa kumbuka hilo
 
Dah kumbe ally kiba anawafuas wachache Instagram kuliko harmonize? Nmeshangaa Sana leo nlivopita huko
Na akikaa vibaya rayvanny anamchukua
 
Anachanja Mbuga tu 🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾

Habari nzuri,

Msanii wetu wa Tanzania Diamond Platnumz atakuwepo kwenye moja ya collabo ilipo kwenye album mpya ya Alicia Keys.

Alicia Keys amethibitisha hivyo kwa kuonesha list ya nyimbo zitazokuwepo kwenye album yake hiyo mpya na moja Kati ya nyimbo ipo aliyomshirikisha Diamond.

Tumekuwa tukizoea baadhi ya Wasanii wa Bongo kama AY na Diamond kufanya collabo na American artist lakini Safari hii Diamond ndio kashirikishwa.

 
Ali Kiba kishaimba na Queen B ila hapendi tu show off 😂😂😂😂😂😂

Wakina Konde boy na Ali Kiba jealous tu, lakini watasubiri sana kwa huyu jamaa. Yaani we fikiria vile Alicia Keys saved your number on her phone! Huyu mjomba ashatoboa, sema wabongo na jealous zao wanataka kumfananisha na Aslay, dah, yaani I don't understand. Roho mbaya za Watanzania wenzangu, vile Hasheem Thabeet didn't make it to the NBA, wao ndio roho zao kwatu kabisa, sasa sijui ndio wanafaidika na nini.
 
Back
Top Bottom