Diamond Platnumz ameshirikishwa kwenye album mpya ya Alicia Keys

Ndo wizkid alimua unfollow falaa yulee...!!!
So wasenge wale wanajikuta kina sijui wakati ni ma black kama sisi wizkid saivi hataki shobo nao wanatuona kama uchafu yaani anakupa kibwagizo mwishon uimbe halafu hata kwenye video usije
Hats hiyo kazi hapromote
Breezy pekee yake ndo yupo fresh
 
Kwa comment hii bila shaka hiyo Number mbili inakuhusu. Una moyo wa korosho.

Kwa sababu huna sababu yoyote ya kupanda chuki.
Hivi hiyo ikwapi ama wewe ndo unaieneza
Siku ukija kujua labda diamond ni bosi wangu utaficha wapi sura
 
Mwisho wa siku kuimba na hawa wamarekani binafsi huwa naona kama tu kutimiza ndogo yako labda ulipenda kufanya kazi na fulani, ila haina manufaa kivile.
Bos hebu icheki tena hii..Anazungumziwa Alicia Keys.

Kuacha mauzo, kumbuka concert za mbele anacheza hizo kolabo za mbele.
 
dogo unaeleweka point yako sema point yako ndani yake kumejificha kumchukia diamond na jitihada zake za kuendelea kuuzika umasikini, jitihada zake za kujitangaza zaidi na zaidi, unadhani yeye mjinga hajui hayo yote unayosema, kama wizkid alichukia sana mwanzoni kwanini hakujiondoa kwenye hio video na audio na Drake, hio nyimbo tu unajua imemletea nini wizkid, hivi unajua wizkd kashirikishwa kwenye nyimbo ya beyonce, kila kitu ni malengo, lazima ujue direction ya unapokwenda kwa unachofanya ..
sasa nyie endeleeni kuwapa kichwa wasanii wenu wa huku mchangani kwamba wabanane hapa hapa na show za fiesta wasifikiri nje ya box, diamond huyooo anawaacha anawatimulia vumbi tu.
pancho boy
 
dogo unaeleweka point yako sema point yako ndani yake kumejificha kumchukia diamond na jitihada zake za kuendelea kuuzika umasikini, jitihada zake za kujitangaza zaidi na zaidi, unadhani yeye mjinga hajui hayo yote unayosema, kama wizkid alichukia sana mwanzoni kwanini hakujiondoa kwenye hio video na audio na Drake, hio nyimbo tu unajua imemletea nini wizkid, hivi unajua wizkd kashirikishwa kwenye nyimbo ya beyonce, kila kitu ni malengo, lazima ujue direction ya unapokwenda kwa unachofanya ..
sasa nyie endeleeni kuwapa kichwa wasanii wenu wa huku mchangani kwamba wabanane hapa hapa na show za fiesta wasifikiri nje ya box, diamond huyooo anawaacha anawatimulia vumbi tu.
Nadhani hujanielewa vizuri mkuu
 
Nchi hii ina kizazi chenye hasara sana, yaani matabaka ya monopoly duniani huwa tunayajenga wenyewe.

Ndio maana mmoja ana trillion 100 mfukoni mwingine hana hata 100.

Yaani wstu wasifanye muziki Kwasababu eti wataonekana wanashindana na mtu mwingine.

Mwisho wa siku kuimba na hawa wamarekani binafsi huwa naona kama tu kutimiza ndogo yako labda ulipenda kufanya kazi na fulani, ila haina manufaa kivile.

Burnaboy muziki wake umetoboa kavukavu. Kafanya interview kwenye shows kubwa sana US kama Daily Show na Jimmy Kimmel

So, binafsi sioni sababu ya wasanii kulazimisha saaana na kuwa frustrated.

Unatumia milioni 30 kugharamika video na audio, then show unabanana humuhumu na kina Msaga sumu

Halafu huyo keys mwenyewe hayuko juu tena ndio maana inakua rahisi kuwapata. Ingekua beyonce ingekuaje?? Halafu kwenye nyimbo yenyewe kafanya autro au? Kuna nyingine kaua verse kabisa??!! Niyoiskiliza youtube naona ile ni autro.
 
Nnaamin Alicia hata angetaja jina tu diamond platinum kwenye NYIMBO zake still ingekua issue kubwa
Watu hawatak kuelewa
Wengi mna oppose hi issue
Lakini diamond bado diamond na kunameng yakujifunza nje ya Hilo mnalolinanga
 
pancho boy Kupewa kipande kidogo haimanishi ndio kuimba vibaya ila umetumiaje hiyo sekunde uliopewa kuimba kwenye wimbo hiko ndio watu wanachopima.Hiko kipande diamond kaitendea haki kwanza kaimba kwa sauti nzuri Melody Kali ndio maana watu wanamsifia na moja Kati ya watu waliguswa Ni patoranking amemsifia Sana hiko kipande alichoimba diamond nashangaa Sana unakuja hapa kuleta uteam wako Mara ya kwanza Nilizani ni mtu ambaye unapenda good music kumbe la hasha!
hata kama patoraking kamsifia ila kaimba vibaya😫😫😫😪
 
pancho boy Kupewa kipande kidogo haimanishi ndio kuimba vibaya ila umetumiaje hiyo sekunde uliopewa kuimba kwenye wimbo hiko ndio watu wanachopima.Hiko kipande diamond kaitendea haki kwanza kaimba kwa sauti nzuri Melody Kali ndio maana watu wanamsifia na moja Kati ya watu waliguswa Ni patoranking amemsifia Sana hiko kipande alichoimba diamond nashangaa Sana unakuja hapa kuleta uteam wako Mara ya kwanza Nilizani ni mtu ambaye unapenda good music kumbe la hasha!
usimtetee kwa sababu kasifiwa na patoraking, kiukweli kaimba vibaya😫😫😭😪
 
Mie sio shabiki wa mtu bali ni shabiki wa mziki mzuri. Nachowashangaa wabongo badala tu-move kama Taifa tunaanza kutengana utadhani haya matimu yana msaada ktk maisha yetu. Ndio maana wasanii wote maisha yao yakubangaiza. Wenzetu Uganda hapo wanamuziki wana majumba ya kifahari na magari mazuri na majina yao wala sio makubwa kama wa kwetu. Kansiime tu na pumba zake ana mali ambazo hamna msanii wa maigizo nchini anayemfikia.

Nigeria wasanii wa muziki na filamu wako vizuri sana kiuchumi, sisi tumekaa kushabikia matimu tu na kubaniana kisa huyu sijui Timu Kiba, Timu Konde Boy, Timu Mondy.

Tuacheni huu ujinga na tuwape thamani na deals wanamuziki wetu na sio kuwabania na kuwatenganisha inarudhisha sana nyuma sanaa yetu. Tushindane na nchi za nje, tuone sifa kupeleka wasanii wengi kwenye nomination kama AFRIMMA n.k sio msanii fulani akiinguia kwenye nomination kutoka TZ watu badala ya kumpigia kura kama taifa tunaacha kwa kuwa sio timu yake au unampigia wa nje ili wetu asishinde na pia hao kina Konde, Mondy na Kiba wajaribu kushirikiana kutoa nyimbo ambazo zitaishika Africa nzima na dunia. Wasiangalie ushindani huu wa ki-Simba na Yanga ambao hauna faida na unaowanufaisha watu wa nje.

Kuna wajinga ndio wameshikilia sanaa ya Bongo na ndio wanaleta hizi bifu. Ni muda wenye akili kuwekeza huko
 
Back
Top Bottom