N'yadikwa
JF-Expert Member
- Aug 10, 2014
- 6,825
- 9,532
Ukweli ni kwamba mnyonge mnyongeni asilimia zake mpeni...kijana Naseeb Abdul ametikisa muelekeo wa muziki nchini Tanzania kwa muongo mmoja sasa.
Apongezwe kwani ameiweka ramani ya Tanzania kwenye entertainment map ya Africa na ametengeneza ajira lukuki kwa vijana kuanzia kwenye muziki hadi media investments.
Tuwe wakweli hakuna mwanamuziki ambae ameya- impact maisha ya vijana wenzake kwa namna chanya kama Platnumz...pamoja na mashaifu yake.
Apongezwe kwani ameiweka ramani ya Tanzania kwenye entertainment map ya Africa na ametengeneza ajira lukuki kwa vijana kuanzia kwenye muziki hadi media investments.
Tuwe wakweli hakuna mwanamuziki ambae ameya- impact maisha ya vijana wenzake kwa namna chanya kama Platnumz...pamoja na mashaifu yake.