Shida moja ya diamond amesahau kuwa kufika on top inaweza kuwa jitihada zake binafsi lakini kumaintain hiyo nafasi au talent inapaswa kuwa makini na tabia
Diamond ni moja ya msanii anaeonyesha dharau sana kwa wenzie,hivi karibuni familia yake iliingia kwenye skendo za kudhalilisha wanawake,yeye pamoja na mama yake
Kwa wenye team yake ilikua ni ushindi as waliona kama kick sijui ila kuna watu hawakua wanapendezwa sana na hizi ishu!
Ukija kuchanganya na siasa ndo kabisa unamaliza mambo,
Diamond kama msanii alipaswa awe makini sana na nini anaongea au kufanya kwenye media,lakini pia angeweza kuongea na yule mama yake ambae anaona dunia nzima yeye pekee ndo amezaa jembe,mama apunguze dharau na majigambo akiwa kwa media,this is not good as lazima utapata watakaotaka kukushusha kilazima
Kama anajihusisha kwenye siasa hilo haina tatizo bali tatizo linakuja pale anapotaka kuwabeza au kuwapiga madongo wale wa upinzani bila kujua fanbase yake kuna chadema na CCM pia!
Ubaya wa hawa wasanii wetu wakipata kidogo huwa wanaona the world revolves only around them na wanasahau kuporomosha huwa ni kazi ya wanadamu iwe kwa uchawi au majungu!
Abadilishe hapo tu kwenye tabia na matamshi yake,the rest will just go with the flow as talent anayo,he just needs to humble himself!
Diamond ni moja ya msanii anaeonyesha dharau sana kwa wenzie,hivi karibuni familia yake iliingia kwenye skendo za kudhalilisha wanawake,yeye pamoja na mama yake
Kwa wenye team yake ilikua ni ushindi as waliona kama kick sijui ila kuna watu hawakua wanapendezwa sana na hizi ishu!
Ukija kuchanganya na siasa ndo kabisa unamaliza mambo,
Diamond kama msanii alipaswa awe makini sana na nini anaongea au kufanya kwenye media,lakini pia angeweza kuongea na yule mama yake ambae anaona dunia nzima yeye pekee ndo amezaa jembe,mama apunguze dharau na majigambo akiwa kwa media,this is not good as lazima utapata watakaotaka kukushusha kilazima
Kama anajihusisha kwenye siasa hilo haina tatizo bali tatizo linakuja pale anapotaka kuwabeza au kuwapiga madongo wale wa upinzani bila kujua fanbase yake kuna chadema na CCM pia!
Ubaya wa hawa wasanii wetu wakipata kidogo huwa wanaona the world revolves only around them na wanasahau kuporomosha huwa ni kazi ya wanadamu iwe kwa uchawi au majungu!
Abadilishe hapo tu kwenye tabia na matamshi yake,the rest will just go with the flow as talent anayo,he just needs to humble himself!