Diamond Platinumz huenda akatolewa kwenye mchakato tuzo za BET

Shida moja ya diamond amesahau kuwa kufika on top inaweza kuwa jitihada zake binafsi lakini kumaintain hiyo nafasi au talent inapaswa kuwa makini na tabia
Diamond ni moja ya msanii anaeonyesha dharau sana kwa wenzie,hivi karibuni familia yake iliingia kwenye skendo za kudhalilisha wanawake,yeye pamoja na mama yake
Kwa wenye team yake ilikua ni ushindi as waliona kama kick sijui ila kuna watu hawakua wanapendezwa sana na hizi ishu!
Ukija kuchanganya na siasa ndo kabisa unamaliza mambo,
Diamond kama msanii alipaswa awe makini sana na nini anaongea au kufanya kwenye media,lakini pia angeweza kuongea na yule mama yake ambae anaona dunia nzima yeye pekee ndo amezaa jembe,mama apunguze dharau na majigambo akiwa kwa media,this is not good as lazima utapata watakaotaka kukushusha kilazima
Kama anajihusisha kwenye siasa hilo haina tatizo bali tatizo linakuja pale anapotaka kuwabeza au kuwapiga madongo wale wa upinzani bila kujua fanbase yake kuna chadema na CCM pia!
Ubaya wa hawa wasanii wetu wakipata kidogo huwa wanaona the world revolves only around them na wanasahau kuporomosha huwa ni kazi ya wanadamu iwe kwa uchawi au majungu!
Abadilishe hapo tu kwenye tabia na matamshi yake,the rest will just go with the flow as talent anayo,he just needs to humble himself!
 
Mungu ameshampa Vikwazo 1.vya kuto kuendelea kuenjoy life katika dunia hii 2. Vijana wake kama huyu Sadala,Sabaya ....na wengine kutoishi maisha ya amani katika siku zao zilizobaki hapa Chini ya jua!! Damu za watu zilizomwaga Zinalia kisasi mbele ya Mungu wao

View attachment 1810469

View attachment 1810471
Hii inahusiana nini na thread hii, sometimes muwe mnaelewa unatuletea mapicha hayo ndo yatakayoenda kumpigia kura? Diamond anahusika nini na hizo picha? Aliewaita NYUMBU hakika hakukosea!
 
Kupitia hili wasanii wengi watapata cha kujifunza ,maana kwa ujumla wao tukianza na mondi,kiba, konde walijichanganya sana kukomaa kwenye siasa sijui ndio kujikomba ili wasifuatuliwe na serikali.

Hapa ndipo nilipoamin kuwa hawa wasanii wana biashara nyingine nje ya mziki ,maana sio kwa kujikomba vile kwa magufuri ,mtu ukishakuwa na mashabik wa kutosha epuka siasa kabisa maana lazima utawagawa tu mashabik zako.

Mm nilikuwaga namwelewa sana Alikiba ila tokea mwaka Jana 2020 nilimu unfollow had insta .

Wasanii kaeni mbali na siasa maana siasa imebeba maumivu kwa baadhi ya watu walio wengi wachache wakineemeka na siasa ,haiwezekan msanii unayejielewa et unaandika mstari kama huu , asiyeipenda ccm abane choo
Kwani wewe unayeipenda chadema hukubana choo?
 
Mungu ameshampa Vikwazo 1.vya kuto kuendelea kuenjoy life katika dunia hii 2. Vijana wake kama huyu Sadala,Sabaya ....na wengine kutoishi maisha ya amani katika siku zao zilizobaki hapa Chini ya jua!! Damu za watu zilizomwaga Zinalia kisasi mbele ya Mungu wao

View attachment 1810469

View attachment 1810471
Tabu kweli kweli..

Kwa hiyo huyu Mungu mliemdaharau wakati maombi ya korona kumbe kwenye mambo yenu huwa anajibu?

Na kwanini basi hakufanya muujiza ili Lisu awe rais?
 
Uchawi tu kwakweli, kwanini kulazimishana kuamini unachoamini? Hizi siasa mavi mavi sijui zinatupeleka wapi!!!

Wamuache huyu dogo kwakweli, kwa namna anavyopambana hii tuzo anastahili kabisa.
Mkuu hivi umeyaelewa masharti na vigezo ili uweze kuipata hiyo tuzo? Usiwe busy kumtetea tu huyo kijana.
 
Wanaharakati waombe Diamond asipate hii tuzo.. akipata atawapostia Dole la kati mwaka mzima😆😆😆😆

Tabu kweli kweli..

Kwa hiyo huyu Mungu mliemdaharau wakati maombi ya korona kumbe kwenye mambo yenu huwa anajibu?

Na kwanini basi hakufanya muujiza ili Lisu awe rais?
Corona ni ishu ya kisayansi na yeye aliekuwa anaongoza haya maombi Fyekelea mbali
 
Kwa hili chadema wameonyesha hawajui wanachokisimamia na kukipigania ni nini misingi yake (Democracy)

Kwenye principles za kimungu, Mungu anaweza kumuacha mtu mbaya wa eneo fulani aishi umri mrefu au azidi kufanya mambo yake mabaya kwakua kupitia ubaya huo kuna watu wengi wanafaidika. Either kwa kuajiriwa kwenye kampuni zake, anatoa huduma za kijamii kwenye eneo lake nk nk. Mungu atamuacha mtu huyo maana kupitia ubaya wake huo bado kuna watu wanaendesa maisha ambapo kama akimtoa wale watu watakosa msaada au ajira za kuendesha maisha yao.....Accept less evil for Greater good

Diamond ka-Accept less evil for greaater good, kuna muda sio kila kitu itabidi uongee lazima ubaki kimya kwa ajili ya mazuri mengi...Naamini mondi hajali kuhusu CCM wala hapendi kama kuna ubaya unafanyika. But yeye ni mfanyabiashara anahitaji faida kwa ajili ya mambo yake yaende wakumbuke Diamond anafamilia anabiashara na kaajili watu wengi anawalipa mishahara. Wengine kawaajili indirectly.

Sasa hawezi kuacha kufanya biashara ili alipe mishahara na kuendesha familia ajili ya hisia za kikundi fulani..Kumbuka nimesema kua wakati inabidi uwe Neutral usionyeshe rangi yako inabidi usome alama za nyakati.

Sasa hao wanaopinga Diamond kufanya biashara na ccm kisa wanauovu wanasahau hiyo kanuni ya Less evil,Greater Good!
Mwenzao kuna familia nyingi zinamtegemea yeye.
Unakuta mtu anayekuita boss ni house girl wako tu huna mawazo ya kulipa mishahara watu hafu unachukia mondi kufanya biashara na CCM wakati mwenzako kuna matumbo kibao yanamtegemea ni Upuuzi Pluss pluss
Akili hizo hawana mkuu!

Kwa akili zao hiki wanachofanya wanaona ndio njia ya kuing'oa ccm madarakani,

Ndio uwezo wao ulipoishia
 
Shida moja ya diamond amesahau kuwa kufika on top inaweza kuwa jitihada zake binafsi lakini kumaintain hiyo nafasi au talent inapaswa kuwa makini na tabia
Diamond ni moja ya msanii anaeonyesha dharau sana kwa wenzie,hivi karibuni familia yake iliingia kwenye skendo za kudhalilisha wanawake,yeye pamoja na mama yake
Kwa wenye team yake ilikua ni ushindi as waliona kama kick sijui ila kuna watu hawakua wanapendezwa sana na hizi ishu!
Ukija kuchanganya na siasa ndo kabisa unamaliza mambo,
Diamond kama msanii alipaswa awe makini sana na nini anaongea au kufanya kwenye media,lakini pia angeweza kuongea na yule mama yake ambae anaona dunia nzima yeye pekee ndo amezaa jembe,mama apunguze dharau na majigambo akiwa kwa media,this is not good as lazima utapata watakaotaka kukushusha kilazima
Kama anajihusisha kwenye siasa hilo haina tatizo bali tatizo linakuja pale anapotaka kuwabeza au kuwapiga madongo wale wa upinzani bila kujua fanbase yake kuna chadema na CCM pia!
Ubaya wa hawa wasanii wetu wakipata kidogo huwa wanaona the world revolves only around them na wanasahau kuporomosha huwa ni kazi ya wanadamu iwe kwa uchawi au majungu!
Abadilishe hapo tu kwenye tabia na matamshi yake,the rest will just go with the flow as talent anayo,he just needs to humble himself!
Wewe mzee!

Diamond kawadharauje wenzie? Kuwambia wakazane waache uvivu, wawe wabunifu ili kufika alipo yeye ni dharau?


Kwa hiyo wakimchukia kama hivi hao wenzie ndio watafika alipo yeye na kuzidi?
 
Back
Top Bottom