Diamond Platinumz Fans' Special Thread: Njooni tukutane hapa

Mi nafikiri kwa ujumla kuna shida katika muziki wa bongo kwa sasa wala hili si suala la Diamond pekee, kwani tukisema Diamond anabuma lazima tumuoneshe anaetamba kwa sasa, kama hayupo tafsiri yake nini sasa? Ni either bado Diamond yuko juu au muziki wa bongo kwa ujumla umepoa.

Pia nafikiri sababu ya fame ya wanamuziki wengi kudrop ni "ugumu wa maisha" kwa upande wa Tz pekee kitu ambacho kimefanya watu/wadau na washikadau wawe bize kupambana na maisha na kuachana na mambo ya starehe {ambapo muziki huwa unapenyea hapa} ndio maana kwa nje bado nafasi ya international artist imeshikwa na Diamond, while huku ndani tunaona amepoa. Pia kuna kipindi kiki ilihamia kwenye siasa kitu kilichosababisha hata msanii afurukute vipi hawezi kutrend sana kama zamani.

Tukisema Diamond hasikiki basi wasanii wengine hali zao ni mbaya zaidi.
 
Aliambiwa anyamaze kwa muda ili watu wam miss.Akanyamaza akaja kutoa fire.Hamna hata response kubwaa.
Inaumiza.Mwenyewe fire hata sijaipenda.
Labda akitulia for a year labda...na Diamond hataweza.Saivi kiba akitoa hit song lazimaaa itapata response kubwa.

Some time kiba anatumia akili sana kumantain maana anatengeza mazingira ya watu kummisi afu akija kuachia mashine inakuwa mtafutano
Na domo inabidi afanye ivo afu apunguze kutoa nyimbo kwa mazoea
Hii sio formula pekee, kuna watu walikaa kimya na walivyorudi hakukuwa na kilichobadilika.

Pia msanii anahitaji hela za shows, ambazo kibongo bongo nafikiri wasanii wengi wanapigia hela hapa, sasa akae kimya hizo hela aziache zipotee tu? Wakati lifespan kwenye game ni ndogo.
 
kinachomdondosha diamond ni Lizer.
hivi wcb nzima imeshindwa kumuona lizer? kama ni tatizo!

Davido hamna alichokiimbia katika If wala Fall
ila beatz...
diamond hana tatizo lingine ,tatizo kubwa kabisa ni beats mbovu, msanii mkubwa kama yeye kupigiwa beat na lizer ni kujipoteza kwa game. lizer hana vionjo vya kumpigia diamond hata theluthi.

mmewahi kuwaza hivi Muziki ya darassa isingepigwa na ttouch ingekuaje? ingekua ngoma yakawaida kama zingine.

Halafu kwa social network kinachomfanya a-drop ni kupost, anapost mapicha ya hovyo hovyo ,kutwa post 10 zikipungua7
inafanya watu wamu unfmfollow sana, mwaka juzi alikua anaongoza Wasanii wa Africa kwa followers nowdays anaongoza Davido ana 4m na point zake.
sasa hivi diamond ana 3.8 akilingana na wizkid ambae nae soon atamwacha.
Jamaa hana mshauri na hajiongezi kabisa kutwa kupost,mara sitaki ushambenga anaboa sana sikuhizi.

Aache kufanya vitu kwa mazoea sasa, anajua fans wangu watafurahi tu hata nikitoa madudu
aishi maisha ya ustar kupost post kutwa nzima wakati ana Acc ya Wcb wasafi apinguze
ameshatupunguza morale fans wake kwakweli.
atashangaa ana rise mtu mwingine watu wanamhama.. ajiongeze katika hayo maswala.


2years Ago ,wasanii wote wa Africa walikua wanamtamani jinsi alivo na fans wanaompigania. asipoteze nyumbani , hata kama ndio kimataifa sio kiivyo
Dear Ariana hapo kwa laizer naungana na wewe, hivi huyu Laizer before WCB alikuwa wapi? Ujue wanawest hawaimbi chochote cha maana bali beats zinawabeba sana.

Hapo kwenye kupost nadhani hakuna formula moja since mashabiki wengine wanataka kila saa msanii wao apost wengine hawataki mapost mengi, hivi kuna msanii anapost kama breezy? Yule ukirefresh page yake kila muda unaeza kukutana na post mpya kibao na bado hapotezi followers, lakini hata asiyependa akaamua kuunfollow ndio ataacha kuwa shabiki wa Diamond? Hawatacheza nyimbo zake? Wakizipenda hawatanunua? Kwenye show hawataenda? YouTube je? Tufikirie sawasawa kama kupost sana ni tatizo kubwa kiasi hicho, labda ningeomba aache kupost minor issues sijui birthday za kina nani, napo ajiandae kuambiwa anaringa maana kudeal na waTz ni kipaji kingine.
 
Madai yao wanatukomesha yule mama ana mchango mkubwa sana wa kudrop kwa diamond.
maana tumeshachoka na drama zao kama rob na chyna

Yaani diamond sijui kawaje yaani.....zamani alikuwaga mtu wa kucheza ma nyakati lkn tokea ampate huyu bibi yaani kawa kama kalogwa haoni wala hasikii atakuja kushtuka mda umeenda na lidem litampiga chini maana lile kwk lipo kiafter money na umarufu
Yeye anahisi anatukomesha ila anajikomoa mwenye atakuja kushtuka kumekucha
Zari sidhani kama ni tatizo kiasi hicho unless tumeamua tu kumtupia lawama.
 
Pale shughuli ndio imeisha analazimisha watu waendelee kumsikia kwa kutoa nyimbo kila wiki.
Mtanii upo?? Kuna kipindi Teckno alikuwa anatoa wimbo kila mwezi karibia naye alikuwa analazimisha kusikika? Huko west kwa siku zinaachiwa nyimbo karibia 10 sasa wewe kaa na kijimbo chako kimoja kwa miaka miwili uone shughuli yake.
 
Mm ni shabiki mkubwa sana wa huyu jamaa tokea kamwambie till this time.....lakini recently naona kama jamaa anaanza kupwaya iv maana yule diamond wa kutoa ngoma zinazosumbua media kuanzia bongo hadi nchi za nje simuoni tena....inasikitisha na kutia was was sana kama kuna nuru uko mbele inabidi yeye na manejiment yake wakae watulize vichwa ili kupata jawabu zuri ni wapi jamaa anakosea.......kwa ushauri mzuri ikiwezekana akae pembeni kwanza ili alisome game vizuri......mfano davido aliamuwa kuwa kimy kwa takribani mwaka mzima na sehem akilisoma game na come back yake imekuwa nzuri.
Davido hakuwa kimya ila alikuwa anatoa nyimbo zinabuma sababu ya mkataba wake na Sony walishindwa kufanya timing na promotion nzuri alivojitoa ndio akarudi kwenye game

Sent from my E6533 using JamiiForums mobile app
 
Dear Ariana hapo kwa laizer naungana na wewe, hivi huyu Laizer before WCB alikuwa wapi? Ujue wanawest hawaimbi chochote cha maana bali beats zinawabeba sana.

Hapo kwenye kupost nadhani hakuna formula moja since mashabiki wengine wanataka kila saa msanii wao apost wengine hawataki mapost mengi, hivi kuna msanii anapost kama breezy? Yule ukirefresh page yake kila muda unaeza kukutana na post mpya kibao na bado hapotezi followers, lakini hata asiyependa akaamua kuunfollow ndio ataacha kuwa shabiki wa Diamond? Hawatacheza nyimbo zake? Wakizipenda hawatanunua? Kwenye show hawataenda? YouTube je? Tufikirie sawasawa kama kupost sana ni tatizo kubwa kiasi hicho, labda ningeomba aache kupost minor issues sijui birthday za kina nani, napo ajiandae kuambiwa anaringa maana kudeal na waTz ni kipaji kingine.
mimi laiza kilio changu

TECNO-C5 Wereva
 
Niliwah Kuandika Kuwa Diamond Co Mwandish Mzr, Kwan Ili Uweze Kua Nguli Lazma Uwe Unaandika Au Unanunua Km Huwezi. Mzk Ni Km Movi Watu Wanataka Stori. Watu Wakanijia Juu Kuwa Hata Akiimba Mabata Madogodogo Ata Hit Tu. Mwanamzk Wa Kweli Anaish Kwa Kutegemea Tungo Co Pruducers. Mwangalie Mr.Blue, FA, FdQ, Jide, Profesa Jay, Ulamaa, Sugu Nk, Wanaweza Fanya Lolote Wkt Wowote Kwan Wapo Njema Kichwani. Haya Mambo Ya Kina Mr Nice Na Dudubaya, Co Mzk Asilani. Hata Congo, Mzk Wa Franco Una Thaman Kuliko Wa Bongoman Mpaka Sasa Kwa Sababu Ya Uwandish. Ss Hv Unatoa Ngoma Moja Mwaka Mzma Na Kiki Kibao. Upuuzi Mtupu
 
Niliwah Kuandika Kuwa Diamond Co Mwandish Mzr, Kwan Ili Uweze Kua Nguli Lazma Uwe Unaandika Au Unanunua Km Huwezi. Mzk Ni Km Movi Watu Wanataka Stori. Watu Wakanijia Juu Kuwa Hata Akiimba Mabata Madogodogo Ata Hit Tu. Mwanamzk Wa Kweli Anaish Kwa Kutegemea Tungo Co Pruducers. Mwangalie Mr.Blue, FA, FdQ, Jide, Profesa Jay, Ulamaa, Sugu Nk, Wanaweza Fanya Lolote Wkt Wowote Kwan Wapo Njema Kichwani. Haya Mambo Ya Kina Mr Nice Na Dudubaya, Co Mzk Asilani. Hata Congo, Mzk Wa Franco Una Thaman Kuliko Wa Bongoman Mpaka Sasa Kwa Sababu Ya Uwandish. Ss Hv Unatoa Ngoma Moja Mwaka Mzma Na Kiki Kibao. Upuuzi Mtupu
eti mabata madogo madogo yaan nimecheka Kwa sauti wallah loh

Sent from my CHC-U01 using JamiiForums mobile app
 
f7f246c402229698baa80bf6591eb4b2.jpg


Sent from my VF695 using JamiiForums mobile app
 
Mm ni shabiki mkubwa sana wa huyu jamaa tokea kamwambie till this time.....lakini recently naona kama jamaa anaanza kupwaya iv maana yule diamond wa kutoa ngoma zinazosumbua media kuanzia bongo hadi nchi za nje simuoni tena....inasikitisha na kutia was was sana kama kuna nuru uko mbele inabidi yeye na manejiment yake wakae watulize vichwa ili kupata jawabu zuri ni wapi jamaa anakosea.......kwa ushauri mzuri ikiwezekana akae pembeni kwanza ili alisome game vizuri......mfano davido aliamuwa kuwa kimy kwa takribani mwaka mzima na sehem akilisoma game na come back yake imekuwa nzuri.
Ukishaamua kuwa mpiga debe wa chama cha siasa ujue mashabiki wa vyama pinzani watakuunganisha na chama unachokiunga mkono.
 
Ndo maaana kuna mwanzo na mwisho,jamaa katoa ngoma2 dable zote chalii hahhahaaaaaaaa.....

Sent from my TECNO-J5 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom