Diamond mkanye sana baunsa wako bila huruma yako juzi ningempa kichapo

nakuvutia picha huo uwezo wa kumpiga baunsa unao??


Sent from my iPhone using JamiiForums
Anabweka tu humu, natamani angemgusa baunsa hata kitasa kimoja ili kile kilichotokea baina ya mayweather na yule dogo mjapani aliopigwa vitasa hadi akalia kimkute mtoa mada apigwe mbele ya mke wake na watoto hadi alie kama mtoto.

Ugomvi wa kutafutaga sifa sio mzuri halafu mabaunsa huwa wanafanya tizi full time so pumzi zipo. We unategemea uzinguane na mwarabu fighter au Zola D halafu ubaki salama? Atakuvuruga akuvunje vunje uaibike
 
Wale Vijana hawana Walinzi Bali Wana Watunisha Vifua Tu.
Jumapili iliyopita hii ya juzi nilikuwa supermarket ya Game pale mlimani city na familia Famillia yangu, ile nipo kwenye mizunguko yangu huku na kule nikiangalia bei za bidhaa mbali mbali zilizokuwepo pale mara paap nikashangaa tu limkono limeshiba na misuli minene eti linanizuia nisipite njia ile.

Kumbuka hapo nlikuwa sijui kama Diamond na Dem wake Tanasha wapo pale pale kwenye ule uchochoro nnaopita mimi, Baada ya yule Baunsa kunizuia nikamuangalia juu mpaka chini, juu kajazia na chini alikuwa mwembamba hivi alikuwa kavaa suruali Modo ,Chafu chafu hivi, kama fuko la mashineni.

Baada ya kumuangalia vizuri yule baunsa ndio ikabidi nitazame kushoto na kulia kuangalia ni nani aliyekuwa anampa jeuri yule Baunsa, kuangalia vizuri ndio nikamuona Diamond na dem wake Tanasha kumbe walikuwa pale pale,

Nikamwambia yule baunsa anipishe nipite pale sio nyumbani kwa mama yake, huku usoni nikiwa nimeshabadilika, nipatwa na hasira gafla, ile nataka kupita akanizuia tena ikabidi nimpe kikapu nilichokuwa nimekishika mke wangu, ili nimpe vitasa yule bausa pale pale maana hakujua kuwa sio kila mtu ana shobo na wasanii, so nilitaka nimshikishe adabu

Ile nataka kumrukia tu Diamond ndio akaingilia ule ugomvi akinisihi nimsamehe na niendelee na mishe zangu, kwa kisingizio kuwa atamkanya yule baunsa na ndio ikawa pona pona yake

Ushauri wangu kwako Daimond ajiri baunsa mmoja ambaye ni smart na ana elimu kuliko kubeba mabaunsa ya vichochoroni huko ambayo hayajui mipaka ya kazi zao, sio kila mtu anapenda kushobokea wasanii, tunakupenda lakini kwenye maisha ya mtu private huwa hatushobokeagi mtu wengine sisi ni watu wazima

Mkanye sana baunsa wako

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wasafi sio watu wa mchezo mchezo nipo Morogoro hapa - JamiiForums

Wasafi sio watu wa mchezo mchezo nipo Morogoro hapa

Diamond Platnumz ana nyota ya kupendwa mashabiki wengi kuliko Clouds Media - JamiiForums

Diamond Platnumz ana nyota ya kupendwa mashabiki wengi kuliko Clouds Media






LICHADI adi morogoro ulimfata

Sent using Jamii Forums mobile app


Jamaa swaga za kumpromot Dangote simba aka chibu baba tifaaa.....zimemwishia naona kaamua mchoma baunsa wa chibu ili akachukue nafasi ya utunisha misuli na kushika mirango.
 
41 Reactions
Reply
Back
Top Bottom