msafwa93
JF-Expert Member
- Jul 2, 2011
- 4,761
- 5,877
ilikua kwenye TUZO ZA MUZIKI ZA KILI 2011/2012
Wakati OMMY DIMPOZ anaenda kupokea TUZO yake ya pili alisindikizwa na DIAMOND(hawa ni marafiki wakubwaa) ndipo DIAMOND akatoa maneno haya:-
'kuna siku niliwahi kumpeleka huyu dogo kwa producer fulani hiv lakin huyo producer akasema dogo hajui kuimba lakini nashangaa leo huyo producer hajapata TUZO hata moja wakat dogo anapoke TUZO ya pili'..
producer anaemzungumzia hapo ni BOB JUNIOR.
kimsingi kama unajua mziki kwa hawa ma producer kuna kitu wanakiita 'TOUCHES' yani BOB JUNIOR aliona kwa 'TOUCHES' zake dogo hafai.
Wimbo wa huyu OMMY D umerekodiwa na KGT(G RECORDS) kilichonogesha ule wimbo ni vnanda vya KGT na CHORUS ambayo aliyeitunga ni ALIKIBA na aliyempa idea ya kumshirikisha ALIKIBA ni KGT..
JE ANGEENDA KWA BOB JUNIOR ANGEPEWA IDEA YA KUMSHIRIKISHA ALIKIBA.?NA JE ANGEMSHIRIKISHA MTU MWINGINE CHORUS INGEKUA NZUR VILEVILE.?
Wakati OMMY DIMPOZ anaenda kupokea TUZO yake ya pili alisindikizwa na DIAMOND(hawa ni marafiki wakubwaa) ndipo DIAMOND akatoa maneno haya:-
'kuna siku niliwahi kumpeleka huyu dogo kwa producer fulani hiv lakin huyo producer akasema dogo hajui kuimba lakini nashangaa leo huyo producer hajapata TUZO hata moja wakat dogo anapoke TUZO ya pili'..
producer anaemzungumzia hapo ni BOB JUNIOR.
kimsingi kama unajua mziki kwa hawa ma producer kuna kitu wanakiita 'TOUCHES' yani BOB JUNIOR aliona kwa 'TOUCHES' zake dogo hafai.
Wimbo wa huyu OMMY D umerekodiwa na KGT(G RECORDS) kilichonogesha ule wimbo ni vnanda vya KGT na CHORUS ambayo aliyeitunga ni ALIKIBA na aliyempa idea ya kumshirikisha ALIKIBA ni KGT..
JE ANGEENDA KWA BOB JUNIOR ANGEPEWA IDEA YA KUMSHIRIKISHA ALIKIBA.?NA JE ANGEMSHIRIKISHA MTU MWINGINE CHORUS INGEKUA NZUR VILEVILE.?