Diamond hivi huyu Mzee ni baba yako kweli? Mama anasemaje?

Haijalishi Sana ni nini diamond kafanyiwa na baba yake Lakini Mzee hastahili hii Adhabu kabisa
Pia nikumbushe tuu
Wanawake ni viumbe wakatili Sana Sana watu wanasema They are devils




I'm on that good kush and alcohol
Je huo ukatili unauona kwa mama yako , dada zako , shangaz na rafik zako au umeamua kusema tu.
Tuwe na akiba ya maneno waungwa si kila kitu kipo applicable kwa kila mtu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hata kama huyo Mzee amekosea kias gan, Diamond anatakiwa amjali huyo Mzee , hata awe anamuwekea hata Milion moja kila mwez siyo mbaya ,
 
Kila mtu anavuna alichopanda..

Huyo baba akomae na mavuno yake..

Diamond naye akomae na kilimo chake cha watoto Africa, atakuja kuvuna huko mbeleni..

Maumivu na furaha walizopitia wanajua wao na Mungu wao..

Everyday is Saturday........................:cool:
 
Kwasisi ambao tumewahi kuzaa na kuachana na mzazi mwenza tunaelewa kwanini Diamond anachemka hapa, yaani mtoto hupaswi kabisa kumuhukumu Baba kisa aligombana na Mama then wakaachana, huwezi jua nini kilitokea ila wewe bila kuwaza nje ya box kwavile umelelewa na Mama basi unahisi tatizo liko kwa Baba. Huyu Mzee akifa kwa namna yoyote ile Diamond ajiandae kulaumiwa sana, na itamcost. Mimi ni shabiki wa Diamond ila linapokuja suala la kutomjali Babayake huwa simuelewi kabisa. Yaani unaona fahari kutoa msaada wa kodi kwa 'watubaki' 500 huku Babayako akiishi maisha ambayo hayaeleweki? This is too bad!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ila Mondi ana moyo sana mkuu, yule Shamte anavompakataga yule maza halafu anapost dah na kazidiwa almost 10 years na maza, aisee si mchezo
Kho kho kho kho kkkho!!msiogope nimevaa barakoa,ila huyu mana dangote nikimchekigi yaani ile Wah!! Naona kabisa kuwa huyu mama alikuwa hajatulia,mara avae vinguo vya ki raksi wakati ni mbibi kasoro mkongojo,yaani kabisa domo a,k,a Simba analala kabisa chumba hiki huku anajua kabisa kuwa mazeri yuko anapelekewa faya chumba B na fala flani asiye na mbele wala nyuma?

Tena kwa kutegemea wallet ya simba? Bora ingekuwa ndio dingi halafu tunaishi naye kisela baada ya kuzinguana na wife ake ndiyo aniambie ameotea ki raksi chake cha kujipozea ntamwelewa,ila siyo maza asee,ntakupiga magujuruu nikutoe na taulo hadi alikoolewa mamaako!!shubaamit

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwasisi ambao tumewahi kuzaa na kuachana na mzazi mwenza tunaelewa kwanini Diamond anachemka hapa, yaani mtoto hupaswi kabisa kumuhukumu Baba kisa aligombana na Mama then wakaachana, huwezi jua nini kilitokea ila wewe bila kuwaza nje ya box kwavile umelelewa na Mama basi unahisi tatizo liko kwa Baba. Huyu Mzee akifa kwa namna yoyote ile Diamond ajiandae kulaumiwa sana, na itamcost. Mimi ni shabiki wa Diamond ila linapokuja suala la kutomjali Babayake huwa simuelewi kabisa. Yaani unaona fahari kutoa msaada wa kodi kwa 'watubaki' 500 huku Babayako akiishi maisha ambayo hayaeleweki? This is too bad!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwenye uislam mtoto nje ya ndoa Ni mtoto wa mama , plus kutomjali hiyo ndio kabisa , diamond hamjali baba yake sio kwa sababu aliachana na mama yake Bali Ni kwa sababu Mzee Abdul naye huyo Dogo akiwa mtoto
 
Kwasisi ambao tumewahi kuzaa na kuachana na mzazi mwenza tunaelewa kwanini Diamond anachemka hapa, yaani mtoto hupaswi kabisa kumuhukumu Baba kisa aligombana na Mama then wakaachana, huwezi jua nini kilitokea ila wewe bila kuwaza nje ya box kwavile umelelewa na Mama basi unahisi tatizo liko kwa Baba. Huyu Mzee akifa kwa namna yoyote ile Diamond ajiandae kulaumiwa sana, na itamcost. Mimi ni shabiki wa Diamond ila linapokuja suala la kutomjali Babayake huwa simuelewi kabisa. Yaani unaona fahari kutoa msaada wa kodi kwa 'watubaki' 500 huku Babayako akiishi maisha ambayo hayaeleweki? This is too bad!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
Baba sio kutoa mbegu tu Bali Ni matunzo
 
Kila mtu anavuna alichopanda..

Huyo baba akomae na mavuno yake..

Diamond naye akomae na kilimo chake cha watoto Africa, atakuja kuvuna huko mbeleni..

Maumivu na furaha walizopitia wanajua wao na Mungu wao..

Everyday is Saturday........................:cool:
Uko sahihi Sana mkuu
 
Humu jukwaani kuna watu wanajifanya wajuzi wa kuhukumu kwa sababu maisha yao halisi hayajulikani. Kingine hakuna mwenye kujua visa na matukio ya familia yao hivyo sidhani kama ni sahihi kuhukumu upande wowote kwa 100% maana mwisho wa siku ni maisha yao binafsi. Unafki sio mzuri.
 
Wanaume tuache kuishi kama wanyama. Tuki-behave kama wanyama kwa watoto wetu na watoto baadae kufanya hivyo hivyo, tusilalamike.
Nimefuatilia mahojiano ya huyu Mzee Abdul baba yake Diamond katika TV ya Carrymastori. Mzee anajikaza kiume.

Chini katika maoni nimeona comments za visichana na vivulana vya kizazi hiki vikimponda Mzee kuwa anastahili kupitia anayopitia kwa vile alimtelekeza Diamond akiwa mtoto.Inasikitisha!

Katika maisha,wanaume tunakabiliwa na mengi ila wengi huwa hatulii lii hovyo.

Kuna wanawake umezaa naye, unampa pesa ya matumizi huku anakutukana. Una kipato cha kawaida, unampa mzazi mwenzio pesa, ila anakutukana kuwa unatoa pesa gani ya mboga Unapigania umchukue mwanao,anafanya kila awezalo usifanikiwe. Inafika mahali anakuatambia ana bwana mwenye hela hivyo hababaishwi na vihela unavyomtumia.Unajikuta moyo unakufa ganzi. Mtoto anakuwa mkubwa, amelishwa sumu ya kutosha. Anakuona kama kibaka tu

Diamond unatakiwa kumjali sana baba yako. Ukiangalia hata kitambaa alichojifunga kama barakoa,utaona kiuhalisia aina ya maisha aliyonayo.

Mzee mwenye mtoto anayeweza kulipia kodi watu 500, na wakati huo umenunua hoteli ya mamilioni ya pesa, mzazi wako anafanya biashara ya umachinga wa kutembeza Viatu na corona hii! Ni nini hiki?

Wengine wanashindwa kuwajali wazazi kwa sababu ya uwezo mdogo, wewe una sababu gani ya kuruhusu mzazi aishi kwa unyonge jinsi hiyo?

Hivi haya masharti ya illuminat mbona yanakuwa ya ajabu sana? Au mama Diamond kwa nini usimwambie mwanao amjali baba yako kama anavyokujali wewe?

Au ulishamwambia ana baba mwingine?
 
Inabidi atulie dawa imuingie, mnavyotelekeza watoto malipo ni hapa hapa, nyau nyie. Mpo wengi tu, hata humu JF.
Kwani ulijipa mimba mpaka ujimilikishe mtoto ukimlea akikua tunamtafuta amjue baba ake. Afu unaoneka unachonga sana ndio maana umebebeshwa mimba na umetekelezwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
That's poetic justice.

Let the man get what he deserves!

You negligently dump your bloody springs, you too get dumped uzeeni. That's it!

You can dodge responsibility, but you can not dodge the consequences.

-Kaveli-
 
Back
Top Bottom