Naimani hii ngoma itakuwa sio mchezo, akiwashirikisha Jah Prayzah na P square. Pia wafanye tour show ya East Africa wafanye show moja Dar, show moja Mombasa na show moja Kigali. Tosha kabisa. Diamond aangalie madansa wake hawana Pumzi wanacheza kidogo wanachoka. Dansa anatakiwa akate kiuno mwanzo mwisho, sio lazima wacheze wote kwa wakati mmoja wanaweza wakawa wanapokezana ili kutengeneza continuity.