King klax
JF-Expert Member
- Jul 10, 2015
- 4,241
- 2,678
Duuuuuuuu haya sasa huyo Diamond,,, mambo mengine ni kukaakimya tu,,,
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
moja ya vitu vya kijinga alivyo Wai kuropoka Dai ni kumuongelea uyo bitch Sasa uko Instagram demu muda wote anatuma makombola dai asivyo na akil timamu atamjibu kama alivyo jirekodi anaimba wimbo wa alikiba wakat ashaambiwa UNIKOME lakn bado anajipendekeza Kuna muda jamaa anaboa kinoumaDiamond angetulia tu mana apo anatoa siri za Kampuni sioni impact nzuri kwa hio statement yake.
Huna loloteKiutaratibu Diamond hajui maana ya kazi,haiwezekani kwa mtu mkubwa kama yeye aje atoe siri kama hiyo tena kuhusu kampuni yake,ategemee mengi yatavuja kutoka wasafi,ategemee hilo kuanzia sasa,maana kaanza kuharibu mwenyewe siri za ndani za kampuni yake.
Elimu inakusaidia nini kama Mond darasa la saba lakini kakuzidi kila kitu?Sasa mtu wa std 7,aliyekulia tandale ambae amepata vijisent mambo ya Skills,Leadership,professionalism kwny Co. atayajulia wapi?huku washauri wake ni dizaini ya wakiwa ni Babu Tale,Said Fella etc
Elimu sometimes haina subsitute kwny baadhi ya mambo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Elimu inakusaidia nini kama Mond darasa la saba lakini kakuzidi kila kitu?
Sent using Jamii Forums mobile app
Pole sana Dada diva the boss wa maboksi