Nsibhwene
JF-Expert Member
- Dec 8, 2016
- 293
- 217
Perfume zipo nyingi kuanzia tshs 2000 hadi 5mil. Sioni kama hiyo bei ni mbaya. Kikubwa ni quality. Na pia yeye ame target soko kubwa sio machinga. Tusimkatishe tamaa. Tumuunge mkono kwa wale watakaiweza kununua.Huyu nae sifa zitakuja zimfilisi abakie historia tu.....kipindi shigongo anamdisi kuhusu gharama za show nilimuona kama hater kumbe alikuwa sahihi......toa bidhaa ambayo hata shabiki yako wa kawaida ataimudu....ingekuwa za buku ten au angalau twenty iv tungejichanga.....akanunue mwenyewe na wasafi wenzio.
Kama tutakuwa na mentality za kimaskini kiasi cha kuona perfume hiyo ni bei kubwa bila hata kuangalia ubora tutakuwa hatumtendei Haki. Bravo diamond. Go on.soko lipo Tanzania na na nje ya mipaka. Naamini ni moja ya biashara itakayostawi. Hii ni surprise kwa wengi na hawakujua kama ungeweza kuwa na wazo LA Kijasiliamali kama hili. Big up.