mashakani
JF-Expert Member
- Aug 15, 2018
- 615
- 990
Msanii wa muziki wa kizazi kipya Diamond Platnumz, inadaiwa kuwa amependekeza serikali ya Jamhuri ya muungano wa Tanzania kuitambua siku atakayo funga ndoa na mpenzi wake Tanasha raia wa Kenya na kuifanya kuwa sikukuu ya kitaaifa ‘’Public Holiday”, ikiwa na maana kwamba siku hiyo watu wasifanye kazi wala wanafunzi wasiende mashuleni.
Taarifa hizo zimeenea kwenye mitandao mbalimbali nchini Kenya na kujadiliwa na watu wengi, ambapo mtandao wa Ghafla umeandika kuwa Diamond amehairisha kufunga ndoa na Tanasha siku ya wapendanao kama alivyokuwa amepanga awali kwa kuwa siku hiyo mama wa mpenzi wake huyo atakuwa kazini, huku akiitaka serikari ya Tanzania kutizama uwezekano wa kufanya siku ya ndoa yake kuwa Sikukuu.
“Sababu ya kwanini imenibidi kubadili tarehe ya ndoa ni kwasababu mama yeke Tanasha atakuwa kazini siku ya Valenine’s Day. Sitaki iwe sherehe ndogo. Ikiwezekana ningependa serikali ya Tanzania kufikiria kuwa sikukuu ya kitaifa’’ umekaririwa mtandao wa Howwe Buz
Source: Times FM
Taarifa hizo zimeenea kwenye mitandao mbalimbali nchini Kenya na kujadiliwa na watu wengi, ambapo mtandao wa Ghafla umeandika kuwa Diamond amehairisha kufunga ndoa na Tanasha siku ya wapendanao kama alivyokuwa amepanga awali kwa kuwa siku hiyo mama wa mpenzi wake huyo atakuwa kazini, huku akiitaka serikari ya Tanzania kutizama uwezekano wa kufanya siku ya ndoa yake kuwa Sikukuu.
“Sababu ya kwanini imenibidi kubadili tarehe ya ndoa ni kwasababu mama yeke Tanasha atakuwa kazini siku ya Valenine’s Day. Sitaki iwe sherehe ndogo. Ikiwezekana ningependa serikali ya Tanzania kufikiria kuwa sikukuu ya kitaifa’’ umekaririwa mtandao wa Howwe Buz
Source: Times FM