Mkuu rombo
JF-Expert Member
- Oct 18, 2012
- 1,556
- 422
nyinyi endeleemi kubishana nani kaiba nyimbo mimi ngoja nilale ili niamke mapema niwai shambani nikapalilie maindi
maneno gani ya kifala hayo unaandika ww! Wacha waseme maana wana uchungu wa kuibiwa, kama ww unamuona mtanashat kivyako kwe2 cc ni mwiz 2 kama wez wengine!
Kabla sijakujibu nikuulize kitu?
Unatengeneza style gani ya mziki?
daaaah!...........hapa umenigusa sana mkuu....kwamba nikipiga kinanda kanisani na kutumia free software kama FL siwezi kuwa producer mzuri!ladha ya muziki ,bila kujali ulikojifunzia muziki wenyewe wala kutumia expensive softwares,jumlisha ubunifu mwingi ndo humfanya producer bora bana!
mi nimejifunza na kupiga kinanda kanisani,nikatafuta kila nilichotaka na kudhani napaswa kufahamu kuusu muziki on line na nikajifunza pia production na natumia hiyo hiyo FL na najiamini sana na kazi zangu mkuu!sifanyi tu biashara ya muziki sema,i do it for fun!
na kama tatizo lako ni kujifunza church......mkuu chukuwa vijana hata kumi tu toka makanisa tofauti,waandikie muziki ata ghafla afu waache wakuchapie kama hujazimia!ubora uko tofauti kabisa jhamaa!!!!
currently najaribu tafuta nmchanganyiko mzuri wa ngoma za africa na beats za magharibi kidogo kuona tofauti na nyingi za sasa ambazo wengi wa wazalishaji wana sampo tu toka kwa watu.so,i do some hip hop lakini mimi ni shabiki sana wa ngoma za africa kabisa!
Wasipokuelewa watakuwa wamerogwa.....BTW hakuna producer bongo hakuna....alikuwepo mika mwamba kidogo alikuwa anakuja na vitu vipya vipya......pfunky copy na ku paste.....hawa wengine ndio kabisa hovyooo kabisa......producer wa muziki mpaka uwe producer ni lazima uwe producer kweli wenzetu magharibi wako very serious na hili na utakuta producer ana crew yake kabisa ma producer wa bongo wengi beat zao wanatoa kwa fl ukiwauliza mnajua kutumia AKAI MPCs atakwambia hajui wakati magharibi huko wanakowaiga kina pollow da don, danger, bangladesh ndio wanatumia
mtu anakwambia mimi ni producer wa Hip Hop ukimuuliza unajua kutumia drum machine haijui
just blaze yeye anajua kutumia drums, keybord, turntable, sampler,drum machine yet amesomea na anaendelea kusoma kila siku
kwanini asikuache mbali?
kujua kupiga vyombo vingi kama kinanda hakukufanyi uwe producer ndio maana studio za wenzetu utakuta kuna watu kazi yao ni kupiga violin, wengine kazi yao ni kupiga kinanda tu ila wote wanpata maelezo kutoka kwa producer na utakuta wengine wanaweza tumia fl kuliko kina lamar wenu
nilisikia speech moja ya foo fighters wanasema music sio vyombo, sio studio ni akili na ndio hiyo hiyo inatumika kwa producer unaweza ukawa unajua piga kila kitu ila swali ni je unaweza tengeneza mtindo mzuri wa nyimbo ukawa unique na kupendwa na watu?
utamu wa hiyo makitu angalia encore ya jay z..utamu wa jisongo hilo walipofanya mixup ya jisongi numb la linkin park na kutoa kitu encore/numb aiseeeee......umeshaangalia MTV mash-up album arifu?producer wa muziki mpaka uwe producer ni lazima uwe producer kweli wenzetu magharibi wako very serious na hili na utakuta producer ana crew yake kabisa ma producer wa bongo wengi beat zao wanatoa kwa fl ukiwauliza mnajua kutumia AKAI MPCs atakwambia hajui wakati magharibi huko wanakowaiga kina pollow da don, danger, bangladesh ndio wanatumia
Wasipokuelewa watakuwa wamerogwa.....BTW hakuna producer bongo hakuna....alikuwepo mika mwamba kidogo alikuwa anakuja na vitu vipya vipya......pfunky copy na ku paste.....hawa wengine ndio kabisa hovyooo kabisa......
utamu wa hiyo makitu angalia encore ya jay z..utamu wa jisongo hilo walipofanya mixup ya jisongi numb la linkin park na kutoa kitu encore/numb aiseeeee......umeshaangalia MTV mash-up album arifu?
yah arifu alikuwa yule mchina jamaa anakipiga ile mbaya aiseee.....mike shinonda mkali aisee yeye alikuwa anakipaza na jay z....maana hii encore/numb kaitengeneza shinonda...bonge la show arifu.....Mtv mashap albam sijaangalia arifu ila hiyo ya linkin park aliyekuwa anaipiga kama sio mike shinonda basi alikuwa yule mchina jinna lake silipati fresh ambaye ndio sampler wa linkin park usiombe ukahudhuria show zao arifu hautajutia hela yako
Ukweli lazima usemwe !watazoea hao mfano mi nilikuwa nawaheshimu sana wale mijamaa ya Mwanza na Arusha kwenye hiphop,si kikaja kile kijitu er kijoti na likipindi lake la komeni..er komedi-vilaza,KOPI PESTI ?basi heshima yoote kwa mijamaa hii nikairushilia mbali!eh!, wiv nani amuonee wivu mwiz? acha kuongea u2mbo ww, kupenda gan huko mpka unashindwa kuuona ukweli? acha kasumba yako hiyo wezi lzma wafichuliwe bila kujali ye nani!
eh!, wiv nani amuonee wivu mwiz? acha kuongea u2mbo ww, kupenda gan huko mpka unashindwa kuuona ukweli? acha kasumba yako hiyo wezi lzma wafichuliwe bila kujali ye nani!
producer wa muziki mpaka uwe producer ni lazima uwe producer kweli wenzetu magharibi wako very serious na hili na utakuta producer ana crew yake kabisa ma producer wa bongo wengi beat zao wanatoa kwa fl ukiwauliza mnajua kutumia AKAI MPCs atakwambia hajui wakati magharibi huko wanakowaiga kina pollow da don, danger, bangladesh ndio wanatumia
mtu anakwambia mimi ni producer wa Hip Hop ukimuuliza unajua kutumia drum machine haijui
just blaze yeye anajua kutumia drums, keybord, turntable, sampler,drum machine yet amesomea na anaendelea kusoma kila siku
kwanini asikuache mbali?
kujua kupiga vyombo vingi kama kinanda hakukufanyi uwe producer ndio maana studio za wenzetu utakuta kuna watu kazi yao ni kupiga violin, wengine kazi yao ni kupiga kinanda tu ila wote wanpata maelezo kutoka kwa producer na utakuta wengine wanaweza tumia fl kuliko kina lamar wenu
nilisikia speech moja ya foo fighters wanasema music sio vyombo, sio studio ni akili na ndio hiyo hiyo inatumika kwa producer unaweza ukawa unajua piga kila kitu ila swali ni je unaweza tengeneza mtindo mzuri wa nyimbo ukawa unique na kupendwa na watu?