Diamond apata mapokezi makubwa Mombasa leo

GadoTz

JF-Expert Member
Nov 20, 2014
350
566
10801989_849715018383647_3136472795568289462_n.jpg


Mapema leo Diamond alipogusa Aiport ya Mombasa...

2014-12-12%2B11.45.02.png


Diamond akiwa pamoja na watoto yatima huko Mombassa kabla ya tamasha lake.
 
Hayo mapokezi makubwa yako wapi?Hao waandishi wa habari au?
 

Attachments

  • 1418316532182.jpg
    1418316532182.jpg
    64.4 KB · Views: 1,646
Hawa mashabiki maandazi wa Diamond wanahitaji maombezi na English course.

Ona hapa Davido anamtakia heri ya kuzaliwa mtu wake na vitimbakwiri vya Tandale wanavyokosa ustaarabu kwenye mambo binafsi ya Davido. Ni aibu natamani kucomment lakini naona aibu maana huwa sicomment chochote Insta.

Hayo magari wanayaazima SHOWROOM wanapiga nayo picha halafu wanayarudisha. Acha ushamba dogo
 
Kinachojadiliwa hapa ni mapokezi makubwa kama alivyosema mleta mada na sio airport wala terminal....

Mapokezi yalikuwa nje, hizo picha zimepigwa ndani ya airport, huwezi ona umati wa watu ndani
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom