Diamond anyimwe ruhusa kusafiri nje ya kufanya matamasha, akiwa jeuri afutiwe passport

Umasikini mbaya sana
Chuki ndio chanzo
IMG_1785.JPG

Mbabe wa vita (WCB empire mlezi)
 
Kwa kuwa kaonyesha ukaidi dhidi ya serikali(BASATA) basi iandikwe barua kwenda uhamiaji kuzuia ziara zake zote za kimuziki duniani,paspoti ipigwe pini
Tuwe tunazunguka nae humuhumu na kupigana vikumbo tandale mpumbavu sana.
 
JAMANI KUNA WATU WANAROHO MBAYA JAMANI,SIJUI HUYU ATAFAIDIKA NA NINI!!!
Kwa kuwa kaonyesha ukaidi dhidi ya serikali(BASATA) basi iandikwe barua kwenda uhamiaji kuzuia ziara zake zote za kimuziki duniani,paspoti ipigwe pini
 
Sanaa ni kitu kinachotangaza utamaduni hasa Mziki , Amerika kupitia rap music wamejitangaza sana duniani hasa kwa vijana , Hivi kuna nyimbo zina matusi kama rap music, mother...ker nilijifunzia huko . Sasa sisi sijui tuna shida gani mpira hatujui, riadha tumeshapotea, hata vazi la Taifa hatuna, Kijana amejaribu hata kupeperusha bendera ya Taifa huko nje ya Nchi tunakaa kumkokamalia na kupambana nae hadi uzalendo unamshinda . Hivi ni vikwazo vingapi anakutana navyo huko , It is not easy to be a well known artist at that level, How many have tried and fail . Tukae tutafakari
 
Kwa kuwa kaonyesha ukaidi dhidi ya serikali(BASATA) basi iandikwe barua kwenda uhamiaji kuzuia ziara zake zote za kimuziki duniani,paspoti ipigwe pini

Roho mbaya haikusaidii wala haikujengi...

Attitude za kimasikini sana hizo
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom