Ushahidi kwamba kanunuliwa hiyo Lambo na Zari uko wapi?
Au mkishaona mtu kapiga picha na kitu tayari mnameza hook, line, and sinker?
Huku ni kushambuliana sasa!We unao ushahidi kuwa we ni mtoto wa baba ako?
Huyu Zari ameshatuona watanzania kama watu wajinga, kila anachosema tunakiamini, hiyo gari ameleta kwa muda itumike Tanzania kufanyia shughuli zao na baadae lirudi, ameamua kutangaza kamnunulia zawadi Daimond kujipatia sifa kama kawaida yake, Zari ni muuzaji wa magari Uganda analetewa magari kuyauza, inasemekana hata magari si yote aliyokua nayo Uganda niyake.
leo kaja na mpya ukitaka kumuona mtoto wake utatakiwa kulipa milioni 20 kama wewe si ndugu, hata mitume walionekana kwa watu.
Tusije tukashangaa ikijulikana tumedanganywa hakuna mimba,yote feki na mtoto wa ku adopt.
Kinachoshanganza ni vipi mwanaume umpende kiasi hicho lakini inasemekana mpaka leo Daimond hajakanyaga nyumba anayokaa Zari South Africa au kumtambulisha kwa watoto wake.
Zari iko siku atakuja andika kitabu na kukitoa au kufanya filam jinsi alivyotudandanya watanzania na tukadanganyika.