Heaven on Earth
JF-Expert Member
- Mar 21, 2013
- 37,226
- 26,639
sasa hivi jukwaa lina Moto moto
Haaaaa hadi raha mie na usingizi umeisha halafu kesho inabidi niamkie Ilala kuchukua matunda na mbogamboga za genge langu lol
sasa hivi jukwaa lina Moto moto
Weraaa, umeiona ya mwenzenu au mnanifatilia mie tuuu.
Weraaa to uzalendoooo!
Kwaniiii, diamond si icon ya taifa??
Am soleee, furahiiii maana huwezi amini!
There is more to come ntaweka mpaka avatar ya bwana Salehe serengetiboi wa mama mondi.
Its a free country you know!
Haaaaa hadi raha mie na usingizi umeisha halafu kesho inabidi niamkie Ilala kuchukua matunda na mbogamboga za genge langu lol
Haaaaa hadi raha mie na usingizi umeisha halafu kesho inabidi niamkie Ilala kuchukua matunda na mbogamboga za genge langu lol
ahahahahaa!!nilijua nawe ticha(ooohsorry my)
Kuna mtu nahisi analia sasa hivi huko!
ahahahahaha team domo tunachamba kama diamond mwenyewe
Nitafute kiki kwa mtu ambaye hata shule hajaenda? Una nini zaidi ya kujua kutukana matusi na kudhani ndo ujanjaaa. You must be a joker.afu nimekukubali niaje kumu ignore huyo mpuuzi hapo juu anayetafuta kiki....woiii leta popcorn tutafune huku tukisugua madole gumba kwenye ku votee...bwahahahah.... mtakufwaa u knw..!!
ahahahahaa!!nilijua nawe ticha(ooohsorry my)
Kuna mtu nahisi analia sasa hivi huko!
ahahahahaha team domo tunachamba kama diamond mwenyewe
lalaa upumzikeee
Haaaaaaa alikuchukulia poa kumbe mziki mzito haaaaaaa, Team Naseeb kama bosi mwenyewe
Hapo kwenye blue ukigeuza hizo P zigeuke juu unakuwa umemtukana.
Nawaza tu.
ahahahaa!!niliona huruma kateacher hakujuagi kuchamba maskini wala matusi hajui!!ahahahahaha leo nimefurahi saaaaaaaana
Hivi hayajaisha tu?
Mhuu haya bwana.
ahahahahaa!!nilijua nawe ticha(ooohsorry my)
Kuna mtu nahisi analia sasa hivi huko!
ahahahahaha team domo tunachamba kama diamond mwenyewe
Kesho uni mention hata nikiingia late nijue yanayoendelea
Ha haa kwanini uwaze hivyo lols
Kuna anayejifanya smart anaomba peace huku anatutukana anatafuta kiki ya ulady humu ikija ushabiki ni ushabiki likipasuka limepasuka namsoma tu na kuunganisha bomu likipasuka analo pia uledi feki wote utayeyuka atatoka pangoni kama wenzake.
Kuna anayejifanya smart anaomba peace huku anatutukana anatafuta kiki ya ulady humu ikija ushabiki ni ushabiki likipasuka limepasuka namsoma tu na kuunganisha bomu likipasuka analo pia uledi feki wote utayeyuka atatoka pangoni kama wenzake.
hayawezi kwisha mtanii!!nisamehe bureee
Bebi unafanya nini huku?