2m usd unanunua nyumba mbili masaki mkuu,hoyo bei aliropoka tu hata ukianza na kiwanja plus jengo hakuna 1bnHiyo nyumba alikua anauza 4 years ago alikua anataka ajakosa wateja alitaka 2m usd , Gharib Bilary Enzi zile ni makamu wa rais aliipenda inunuliwe iwe hata makazi ya makamu wa rais lakini usalama wakakataa ipo ndani ndani kwa kua
Mh! Mkuu hii si ni ofisi? Hivi kuna mtu in a good state of mind ataificha ofisi yake isijulikane? Wanaotaka huduma wataipataje huduma yake kama asipoitangaza? Tusiwe wepesi wa ku-judge kwa hisia na kuacha facts.Ni hatua nzuri sana kwa maendeleo ya muziki wao. Ila amini kwamba Ali Kiba ana ofisi kubwa mara 10 zaidi ya hiyo ila hapendi kujionesha onesha na kujikweza.
Na kitu kingine watu hawajui kuwa Ali Kiba ni Boss wa Diamond (ana cheo kikubwa) katika ngazi ya Masonic East and Central Africa...Ni hatua nzuri sana kwa maendeleo ya muziki wao. Ila amini kwamba Ali Kiba ana ofisi kubwa mara 10 zaidi ya hiyo ila hapendi kujionesha onesha na kujikweza.
Vyeo vyao vinaenda sambamba na makufuru( machukizo mbele za Mungu) sasa sijui kiba kafanya yapi mpka cheo kiko juu Maana wote wako huko. Huku nje wanatucheka tu wajinga wasiojuaNa kitu kingine watu hawajui kuwa Ali Kiba ni Boss wa Diamond (ana cheo kikubwa) katika ngazi ya Masonic East and Central Africa...
Kiba kamzidi Mondi cheo katika idara ya kungonoka tu.Vyeo vyao vinaenda sambamba na makufuru( machukizo mbele za Mungu) sasa sijui kiba kafanya yapi mpka cheo kiko juu Maana wote wako huko. Huku nje wanatucheka tu wajinga wasiojua
Ndomu.....Kooooo
Hizi kesi za ML nwdays zinatumika kama kikomoa coz wanajua haina dhamana so utasota ndan hadi kesi kuisha ushakaa miaka 3 na kesi umeshindaKesi imekua nyepesi walitakiwa watoke....ml bila ushahidi hakuna case boss wke john juma nae case imekua haina ushahidi
Wabeshi kesi zao havina ushahidi istoshe wanajinunua kwa kukubali kesi then analipa faini kma ndamaHizi kesi za ML nwdays zinatumika kama kikomoa coz wanajua haina dhamana so utasota ndan hadi kesi kuisha ushakaa miaka 3 na kesi umeshinda
Wacha ninyanaze dia maana nikiongea watatoa povuuu balaaaVipi mamii
Kanunua bilioni 1 hio best tusimchukulie poa huyu dogo spidi yake sio ya kawaida
Msanii namba moja Tanzania, Diamond Platnumz ame-share picha ya jengo ambalo litatumika kama makao makuu ya ofisi za Wasafi.
mkuu unajua kuwa ardhi kila muda unavozidi kwenda ndio thamani yake hupanda?Exactly
And
Reasonable price.
Ukiiangalia kwa nje material Yake hiyoo nyumba imejengwa mda. Na thamani yake haiwezi fika bil moja. Ata kama iko full furnished.
Kuna watu nadhani hawajui maana ya bilioni moja.
Okay dear nimekuelewaWacha ninyanaze dia maana nikiongea watatoa povuuu balaaa
Wenyewe wanakwambia hapendi kujioneshaAaaah! Unakosea mzee mbona haijulikani?
Ni hatua nzuri sana kwa maendeleo ya muziki wao. Ila amini kwamba Ali Kiba ana ofisi kubwa mara 10 zaidi ya hiyo ila hapendi kujionesha onesha na kujikweza.