LegalGentleman
Member
- Oct 26, 2021
- 98
- 287
Kwanza nimpongeze kwa jitihada anazofanya kwani zimekuwa motisha kwa vijana wengi ambao wanapenda sana umaarufu wake kuliko jitihada alizoonesha na harakati ngumu alizopitia.
Niwakumbushe vijana mpaka anafika pale bwana Almasi haikuwa kazi nyepesi, na kama mlivyo sikia kwa mahojiano yaliyofanyika na msanii ambaye alikuwa chini ya lebel yake akisema nakuu "... uniwezi kiselikali, wala kiuchawi..." Pengine kwa jitihada pekee za kawaida hisingewezekana na hapo ndo nakumbuka msemo wa rafiki yangu mmoja alipokuwa akinambia ili kuwa tajiri na kufanikiwa ndani ya jiji la Dsm lazima uwe na roho mbaya.
Tuachane na hayo twende kwenye suala zima la Timing ambalo limekuwa mada kuu na msukumo mkubwa katika ili. Sidhani kama ni wakati sahihi kwa bwana Almasi kuleta betting App nadhani angewekeza zaidi nguvu kwanza kupush Wasafi TV/radio kwanza ili kufika mbali, Mpaka sasa redio hii haijafika nchi nzima ya Tanzania na sehemu ambayo imefika ni sehemu chache imekuwa redio pendwa kwa wakazi wa maeneo haya.
Hapa anapata changamoto kutoka redio kongwe ikiwemo Clouds, East Africa redio, Radio one etc.. kwa upande wa TV kuna mafanikio yake kwani hapa ni vituo vingi vimepwaya na vimekuwa vikijitafta aswaaaa ndipo katikati ya tundu ili alipenyea walau na kupata nafuu. Kwa upande wa redio ukitoa SPORTS ARENA kdg na Kipindi cha Diva LAVIDAVI basi zinabaki frequency tu vingine ni wanaruka ruka tu.
Naendelea huu ulikuwa ni wakati wa kupush redio na TV kuliko iki kilicholetwa kulingana na changamoto iliyopo katika sekta ya habari asa baada ya kuwapoteza wakongwe na makontawa katika sekta hii (R.I.P RUGEMALILA MTAHABA, DR. REGNALD MENGI na watangazi maarafu ikiwemo BABA T alietutoka siku sio nyingi, KIBS etc).
Katika kufanya Timing hii bwana Almasi ingependeza zaidi kama angekuja na Album ambayo ingemuimarisha zaidi kimziki na kumrdisha daraja la juu kama ilivyo kwa kina Wizkid, Burna Boy, Tems na ingewapoza walau mashabiki zake ambao kawaachia nyimbo ambazo upepo wake unawahi kukata sana sio kama zile za awali ambazo zilikaa kwa trend kwa zaidi ya miezi hadi mwaka... ubaikumbuka onanaa aloimba na Mr. Flavour ww?!!! 2016 nzima ipo trending.
Changamoto zilizopo kwenye betting app ni nying, uendeshwaji wa hii kitu ni inahitaji mzigo /Uwekezaji wa kutosha ili kutoa odds zilizoshiba na maana. Vijana wengi wanaofanya michezo hii wanataka pesa iliyokubwa ili wapte kuneemeka mapema sio mchezo mchezo.
Pia masuala ya kudukuliwa; hapa ni imani yangu amrjipanga naaIT wake kukamilish ili zoezi.... itaendelea
Niwakumbushe vijana mpaka anafika pale bwana Almasi haikuwa kazi nyepesi, na kama mlivyo sikia kwa mahojiano yaliyofanyika na msanii ambaye alikuwa chini ya lebel yake akisema nakuu "... uniwezi kiselikali, wala kiuchawi..." Pengine kwa jitihada pekee za kawaida hisingewezekana na hapo ndo nakumbuka msemo wa rafiki yangu mmoja alipokuwa akinambia ili kuwa tajiri na kufanikiwa ndani ya jiji la Dsm lazima uwe na roho mbaya.
Tuachane na hayo twende kwenye suala zima la Timing ambalo limekuwa mada kuu na msukumo mkubwa katika ili. Sidhani kama ni wakati sahihi kwa bwana Almasi kuleta betting App nadhani angewekeza zaidi nguvu kwanza kupush Wasafi TV/radio kwanza ili kufika mbali, Mpaka sasa redio hii haijafika nchi nzima ya Tanzania na sehemu ambayo imefika ni sehemu chache imekuwa redio pendwa kwa wakazi wa maeneo haya.
Hapa anapata changamoto kutoka redio kongwe ikiwemo Clouds, East Africa redio, Radio one etc.. kwa upande wa TV kuna mafanikio yake kwani hapa ni vituo vingi vimepwaya na vimekuwa vikijitafta aswaaaa ndipo katikati ya tundu ili alipenyea walau na kupata nafuu. Kwa upande wa redio ukitoa SPORTS ARENA kdg na Kipindi cha Diva LAVIDAVI basi zinabaki frequency tu vingine ni wanaruka ruka tu.
Naendelea huu ulikuwa ni wakati wa kupush redio na TV kuliko iki kilicholetwa kulingana na changamoto iliyopo katika sekta ya habari asa baada ya kuwapoteza wakongwe na makontawa katika sekta hii (R.I.P RUGEMALILA MTAHABA, DR. REGNALD MENGI na watangazi maarafu ikiwemo BABA T alietutoka siku sio nyingi, KIBS etc).
Katika kufanya Timing hii bwana Almasi ingependeza zaidi kama angekuja na Album ambayo ingemuimarisha zaidi kimziki na kumrdisha daraja la juu kama ilivyo kwa kina Wizkid, Burna Boy, Tems na ingewapoza walau mashabiki zake ambao kawaachia nyimbo ambazo upepo wake unawahi kukata sana sio kama zile za awali ambazo zilikaa kwa trend kwa zaidi ya miezi hadi mwaka... ubaikumbuka onanaa aloimba na Mr. Flavour ww?!!! 2016 nzima ipo trending.
Changamoto zilizopo kwenye betting app ni nying, uendeshwaji wa hii kitu ni inahitaji mzigo /Uwekezaji wa kutosha ili kutoa odds zilizoshiba na maana. Vijana wengi wanaofanya michezo hii wanataka pesa iliyokubwa ili wapte kuneemeka mapema sio mchezo mchezo.
Pia masuala ya kudukuliwa; hapa ni imani yangu amrjipanga naaIT wake kukamilish ili zoezi.... itaendelea