Diamond amuandalia mwanaye Tiffah birthday ya kukata na shoka itakayofanyika Mlimani City

Bilionea Asigwa

JF-Expert Member
Sep 21, 2011
16,510
28,416
x13285318_605853289590989_822858770_n.jpg.pagespeed.ic.ZtgynQVinj.jpg


Mwanamuziki Diamond amethibitisha habari kuwa amemuandalia mwanaye Tiffeh Birthday kubwa ya kukata na shoka, itakayofanyika mlimani City.

Tiffah mwenye umri wa miezi 10, kwa sasa ana followers zaidi ya 623,049 Instagram, na inadaiwa kuwa ndiye superstar mdogo zaidi kwa Africa.

“Happy 10th Months my little Angel… can’t wait for your first year’s Birthday!!!!! Pale mlimani City patakuwa kama Disney Land!!!! @princess_tiffah,” ameandika Diamond kwenye Instagram.

Naye mama yake alimpongeza kwa kuandika: Yesterday you were mummy’s tiny baby and today you are mummy’s big girl. Happy 10 my beautiful princess the apple of my eye, the air I breathe. Plse don’t grow so fast, mummy will miss you being her baby.”

Staa wa Kenya, Huddah ni miongoni mwa mastaa walio na hamu kubwa ya kuwepo kwenye birthday hiyo.

“Our baby @princess_tiffah Turning ONE soon…. The ROYAL DUTCHESS of TZEE . Hii Sio party ya kikosa Jamani . There will be a BIG SURPRISE that day! Asiye na wake aeleke jiwe….Mimi I’ll be there na mawe zangu khaa! Mama Tiffa @zarithebosslady give us LOCATION Basi …. We need to book tickets EARLY,” aliandika.
 
Jamani wapunguze kumuedit huyu mtoto. Yani ukimuona live hiyo rangi ni tofauti kabisa na alivyoapo kwenye picha.
 
Back
Top Bottom