Hata angemfungia ndani akamtwanga kimya kimya bado ni udhalilishaji. Na si udhalilishwaji tu, domestic violence ni abomination, ni jinai, ni ugaidi, ni human rights violation, ni udhalimu. Sio "udhalilishaji wa aina yake." Hivi mtajikomboa lini Gaijin?
Matokeo ya kusubiri Mwanamme "awawezeshe," Mwanamme mwenyewe wa Tanzania bado anafafana na Zinjanthropus wa Kondoa Irangi, wako humu wanasema kutwanga mwanamke ni "mambo binafsi" yanayohusu "wapendanao." Hawa hawawezi kuwawezesheni.
Ndiyo wagombanaoWapendanao.........
hz ni dalili nzuri sana, vijana wataoana hawa! Mapenzi yamekolea hapo!
Wema should quit this childish relationship before futher disasters.
Miss Tanzania Wema na Diamond bongo fleva??? kweli love is blind
tena mpaka mahakamani wanafikishana, na penzi ndo litaishia hapoKesho utasikia story ingine Wema amechukua RB
Kwa muono wangu, ni bora itoke gazetini ili vitendo hivi viwe exposed and dealt with. Domestic abuse nyingi huwa haziripotiwi, hivyo zinazidi kuendelea.... ila huu wa kutoka hadi gazetini ni "wa aina yake".
Kutwangana? Wametwangwa wangapi? Victim wa physical assault hapa ni mmoja tu, mwanamke. Kumtwanga mwanamke haikubaliki. Wema angekuwa dadaangu katwangwa halafu hatua za kisheria haziheshimiwi na jamii inaona ni poa tu na kucheka cheka about it ningepata masela wam-Kameruni jamaa.Aiseeee.......wameshaanza .. na kutwangana?????