Diamond amnunulia mama yake gari la mil.38

Mbona umepanic sana wewe kwahyo ambavo hawapatani na mzazi wake ndo sifa na ndo mana atazidi kukosa tuzo na nyimbo zake hvo eti anafunga hata kama baba ake alimkosea yeye ni kioo cha jamii na we shabiki maandazi kweli kumbe uko empty kiasi hcho mxiuuuuuuuu

we umesamehe wangap waliokuchukulia bwanako??ulitaka amsamehe nae apewe gari ndo usuuzike??we ndo bure kbissaaa.kusamehe ni jambo la moyoni.waeza msameh mtu na wote mkala 50 zenu.ndo mana na bana kanumba hakula jasho la mwanae kwa usaliti huo huo.
 
we umesamehe wangap waliokuchukulia bwanako??ulitaka amsamehe nae apewe gari ndo usuuzike??we ndo bure kbissaaa.kusamehe ni jambo la moyoni.waeza msameh mtu na wote mkala 50 zenu.ndo mana na bana kanumba hakula jasho la mwanae kwa usaliti huo huo.

Unachekesha kama sio kufurahisha unawaza mabwana wengne hatuko hvo wewe labda mabwana wanaokupumulia mbona gari used alitoa hadharani sembuse kwa aliyemleta duniani au ndo show off za kijinga gari ni jambo la kawaida sana sasa kwa malimbukeni ndo wanaona mwisho wa matatizo poor you think out of the box
 
ni kweli "babake" ana makosa. neno baba yake litabaki kuwa palepale kwamba ni mzazi. ndiyo maana kukawa na neno "SAMEHE"/Msamaha.. kanunue dictionary ya TUKI then tafuta hilo neno maana yake. hivi kusingekua na neno kusameheana si tungeish kishetan sana hapa duniani? tena tungefanyiana maajabu ambayo hata huyo shetani mwenyewe angeogopa,kama kweli we ni shabiki wa kweli na unampenda msanii wako,na ungependa apendwe duniani na hata ahera,bas omba mungu hao ndugu wa msanii wako wapatane, sio kutoka povu tu from no where.. kumbuka shetan anasema kupitia binadamu, na sio kila mtu atakupenda lazma upate haterz ndo utafanikisha..

peace 2 binamu wote

#Team_Babaake_Dimond
 
Unachekesha kama sio kufurahisha unawaza mabwana wengne hatuko hvo wewe labda mabwana wanaokupumulia mbona gari used alitoa hadharani sembuse kwa aliyemleta duniani au ndo show off za kijinga gari ni jambo la kawaida sana sasa kwa malimbukeni ndo wanaona mwisho wa matatizo poor you think out of the box

Yaaan maskini unavyoumia na kuongea kwa hisia.dahhh mungu akulinde angalau upate na wewe kazawadi ka boda boda uwe unapata ka kukupeleka kazini.pole sana mungu atakujalia ila kumbuka roho mbaya haijengi.unapoenda utakuja kua mchawi maana roho imejaa kutu.utaponda sana na utaombea mabaya bt dau la kuku halimpati mwewe.
 
Yaaan maskini unavyoumia na kuongea kwa hisia.dahhh mungu akulinde angalau upate na wewe kazawadi ka boda boda uwe unapata ka kukupeleka kazini.pole sana mungu atakujalia ila kumbuka roho mbaya haijengi.unapoenda utakuja kua mchawi maana roho imejaa kutu.utaponda sana na utaombea mabaya bt dau la kuku halimpati mwewe.

Usiusemee moyo wewe ciwezi kuumizwa na kitu kama hicho cha show off character huo ndo ukweli wa mambo u ukubali au ukatae kwa hii dunia tunayoishi kwangu gari cjui nini ni vitu vya kawaida since niko young kabisa ila kwenu malimbukeni mkitoa tu gari mpaka mtangaze kwenye media kwa wengne normal sana acha kuandka pointless sometimes na uelewa wa mambo kwako ni mdogo usinge andka pumba unajizalilisha tu wewe utakua mwanga kama unaendaga ni wewe hayo mambo hata cyajui kama uelewa wako unawaza uchawi wa dark ages pole tatizo uswahili umekuzidi kwahyo hicho kigari waona lambogini you are useless and you.have poor thinking and i dont give a fu..k
 
Umemaliza? anayemjibu '--------' naye ni.......
Eti mie mburula? you don't know what you are talking about na you shall never know.
Endelea wewe ' mjuaji'
 
Hapa ni wivu wa watanzania uliokithiri, huu ni ugonjwa sugu wa watanzania usokua na dawa wala hospitali. Kutwa tuko negative na maendeleo ya wengine, kila mtu amesema aliloweza kusema kwa uwezo na upeo wake lakini kila ukiangalia ni wivu tu unawasakama. Diamond na mama yake hawakwenda shule ndio maana hafikirii nini afanye, nime quote mliyoandika. Nyie ambao vidato vimepanda hamkupaswa pia kuongea haya mnayoyaongea. Watu wasiosoma ndio wanaweza kuongea haya.
Kujenga au kuangalia kesho haihusiani na elimu wala darasa la mtu, bali akili na wito wa kufanya kile kitu. Sio Marehemu Kanumba au Diamond ambao wana pesa Tanzania na hawakufanya hayo mnayotaka, wako viongozi walioshika nyathifa mbali mbali kubwa tu na uwezo ulikuwepo lakini akili ya nitafanya kesho iliwatawala, walipoondoka madarakani walirudi kwenye vibanda vya wazazi wao vijijini bila chochote. Hawakua na nyumba wala magari ya kifahari waliyokua wanatembelea hapa mjini, hao ni wazee kabisa lakini hawakuangalia kesho.
Diamond na Marehemu Kanumba (RIP) bado hata 30 hawajafika, they still have time kama wana uhai na uzima.
Nitafurahi kama nyie ambao mmesoma sana mtatuorodheshea hapa rasilimali zetu tuzisome japo kwa uchache ili tujue na nyie wasomi mmefanya ya maana na mmeona kesho mkiwa bado vijana.
Acheni hizo, mpeni sifa Diamond pale anapostahili.

Dah Mkuu mwanzo uliongea vizuri, ulipofika hapo kwenye red ukachemsha kidogo, Kwani kanumba kafa akiwa zaidi ya 30yrs??Kafa young tu, Usiongee kama wewe ni ndio Sir God, kifo hakina umri usiseme they still have time. Mtoto anaweza zaliwa leo na kufa baada ya wiki moja tu kama hujui, Ukipata nafasi tumia hakuna cha kusema I still have time, You are not God.
Note : Nimeona unatoa mifano ya wanasiasa ambao nao hawajafanya kitu, Mkuu hata siku moja ukitaka kufanikiwa usijifananishe ama kujiringanisha na walioshindwa ila walioshinda
PEACE.
 
Warumi, hebu elezea kidogo kuhusu zawadi ya hizo gari V8 tulizooneshwa majuzi kwenye "hepi bethidei tuyu". Ni kweli kabisa kabisa, ama changa?
 
binamu mimi nasubili tu kufuru ya private jet, kwa kipato cha diamond kumnunulia mama yake gari sioni kufuru maana alishamnunulia gari marehemu gurumo fun cargo. mama yake anastahili zawadi hiyo, atakuwa anakwenda nalo wapi hilo gari?

bado diamond ana tatizo la kuwa na washauri uchwara bila shaka kuna mjanja kalamba commission yake kwenye ununuzi wa hilo gari, hapa nazidi kuona umuhimu wa shule. je mama yake anakabiashara chochote cha kumuingizia kipato hata diamond akifa ghafla mama mtu asitiye aibu kama mama yake kanumba?

= nasubiri

Hujaacha tu ujinga niliokushikia fimbo kwa miaka kadhaa humu JF?

Punguani wahed.
 
Back
Top Bottom