Troojan
JF-Expert Member
- Oct 8, 2012
- 967
- 666
Mbona umepanic sana wewe kwahyo ambavo hawapatani na mzazi wake ndo sifa na ndo mana atazidi kukosa tuzo na nyimbo zake hvo eti anafunga hata kama baba ake alimkosea yeye ni kioo cha jamii na we shabiki maandazi kweli kumbe uko empty kiasi hcho mxiuuuuuuuu
we umesamehe wangap waliokuchukulia bwanako??ulitaka amsamehe nae apewe gari ndo usuuzike??we ndo bure kbissaaa.kusamehe ni jambo la moyoni.waeza msameh mtu na wote mkala 50 zenu.ndo mana na bana kanumba hakula jasho la mwanae kwa usaliti huo huo.