Nahisi babu tale ndo alikuwa anapost kwa niaba ya chibu.
Majizo kauotea???? Hiv unajua ze way jamaa kahangaika??Tatizo la Majizo anajukuta bonge la Ruge kumbe mwamba yuko shalo sana kwenye ku analyse mambo sema nini mwamba mpunga kauotea mambo swadakta,lakini kichwani mweupe sana.
Huyo Majizo alisemaje?Kwenye haya mambo inahitajika elimu kubwa kujua jinsi gani vijana wenzetu wanafaidika na online platform
Mondi hajasoma sana lakini kaelimika pakubwa mno...JIFUNZENIBaada ya Majizo kuandaa press conference kwenye media yake na kushambulia wasanii wanao trend mitandaoni na wanaopata views nyingi, akisema ukali wa msanii haupimwi kwa views au trending.
Jabali la muziki wa Africa almaaluf Diamond Platnumz amempa elimu ya bure Majizo umuhimu wa views na trends kwa msanii.
View attachment 1759531
View attachment 1759530
View attachment 1759529
Nahisi babu tale ndo alikuwa anapost kwa niaba ya chibu.
Hasa kipindi hiki cha covid.utajiri wa muziki kwa sasa upo kwenye platform, wasanii wanapaswa waweke nguvu huko, waachane na maneno ya waganga njaa eti views si kitu ilhali ukweli wanaujua
PlutoniumPlutonium baba lao.... Wwkimbize baba
Account ni yake, wewe ni nani useme siyo yeye?Hivi kwa akili yako ya kawaida na wewe umeamini kabisa hilo andiko ni la "mtoto wa Tandale"? Ukiwa na Pesa siku zote utaonekana una akili hata ukiwa kilaza....kwani wenye akili wote lazima watakuwa watumwa wako
Nitakuwa wa mwisho kuamini hii pesa imetokana na nyimbo moja ya waaah
Siyo wewe tu, mpo wengi msio na ufahamu kuhusu mauzo ya online lkn nikwambie tu hiyo ni youtube bado kuna platforms kibao so kwa wimbo huohuo mmoja anaweza kupiga hata 1b, ni juhudi zake tu.Nitakuwa wa mwisho kuamini hii pesa imetokana na nyimbo moja ya waaah
Majizzo ni mweupe sana..Sema mtu akishakuwa na hela kiasi wabongo huwa tunaheshimu tu,maana kutengeneza pesa nako ni akili labda isiwe halali.
Ashakujaga na kiresearch chake uchwara cha kupika kuwa redio yake inaongoza kwa market share ya 50pc kwa dar na pwani lakini haijulikani ni nani wamefanya tafiti,wakati geopoll tafiti zao zinawarenk nafasi ya nne..msanii sana huyu jamaa
Alisema YouTube ni takatakataHuyo Majizo alisemaje?
Kaandika kwenye insta story yake