Chinga One
JF-Expert Member
- May 7, 2013
- 11,450
- 12,316
jenga hoja,acha upupu matusi pia nayajua sema nini nakukaushia tu..Mjinga kweli we, hizo hela zinakuja zenyewe TU bila akili.
Kimsingi mtu huwezi kujua kila kitu. Si dhambi. Unataka kusema diamond yuko sahihi kwa kila kitu? Hapana.
Punguza mahaba ya kike kwa mwanaume mwenzio.
Povu ruksa, sabuni iwe Ariel, ndiyo kali.