cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 85,149
- 136,647
Ni km ilivyo, au wee unaonaje?Nje ya mada hivi hii mxieew ni nini
Ni km ilivyo, au wee unaonaje?Nje ya mada hivi hii mxieew ni nini
Mkuu ongeza sautiWE ULISIKIA WAPI ?
nlitegemea povu kutoka kweny hii ID yako nyingine. Hebu kunywa maji afu relaaaaaaaaax, lolYeah katuweza kwa performance Kali ya BABA LAO
poleeeeeeeeeh sanaaaaah, hebu meza paracetamol kutuliza maumivuKalale weye WCB chama laoooo
baby wangu nakupenda sananlitegemea povu kutoka kweny hii ID yako nyingine. Hebu kunywa maji afu relaaaaaaaaax, lol
Tatizo unagubupoleeeeeeeeeh sanaaaaah, hebu meza paracetamol kutuliza maumivu
Msieeeeew n msieeeeew, nadhan umeelewa now.Kama ilivyo vipi nami nimekuuliza ili nijue
kuwa mpoleeeeeh tyuuuh boss wenu anawaonesha n vile anamuelewa , huhuhuhuhTatizo unagubu
Poaaaaah
Eti eeeeeh basi sawaaaaaah.baby wangu nakupenda sana
Leo wallah utakufa kwa pressure, huhuhuh km nakuona joto la mwili linapanda kwa kasi ya 4G. UwiiiiiiiiiiiiihLabda wewe, yaani msanii ambaye amezidiwa Kila kitu ndo umlinganishe na diamond THE G. O. A. T
Ni msonyo huo wa kwenye maandishi, au hata msonyo huujui?Kama ilivyo vipi nami nimekuuliza ili nijue
kwa kunisaidia, ila sio kwamba hajui ni vile tyuuh challenge zake kwangu.Ni msonyo huo wa kwenye maandishi, au hata msonyo huujui?
Piga kelele kwa ake, weuweeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeehWimbo kautendea haki asiyecheza lazima awe mchawi, sauti tamu kama kasuku, mashairi yamepangika, hakuna kelele kama upande ule, wachezeka kwa rika lote,
King Kiba Oyeee,
CCM Oyeee.
Huyu Spartacus mnyama mkali anatumia Microscope,zinaona mpaka hisia zilizo jificha.
Mwanaume mwenzako huyo.baby wangu nakupenda sana
Aliyeziona hizo hisia kali ani PM tafadhariDiamond anatikisa kichwa na kucheza kwa hisia kali sana na kuenjoy sauti ya king kama king, diamond inaonekana alimiss mziki mzuri, boss wenu amenyoooka