Money Stunna
JF-Expert Member
- Aug 9, 2011
- 13,054
- 6,281
Mpwa haujaleta mshindo nyuma wa uzinduzi wa bebi madaha au bado samahani lkn maana najua ww ndo kontawa wa jukwaa hili....
najivunia kazi yangu...
hao hao mnaochukia ndio
hao hao mnaotumia picha zangu kutengenezea habari..
najivunia kazi yangu...
hao hao mnaochukia ndio
hao hao mnaotumia picha zangu kutengenezea habari..
najivunia kazi yangu...
hao hao mnaochukia ndio
hao hao mnaotumia picha zangu kutengenezea habari..
najivunia kazi yangu...
hao hao mnaochukia ndio
hao hao mnaotumia picha zangu kutengenezea habari..
Binafsi nakukubali sana..heaven on desert
Walio karibu nae wamshauri apunguze matanuzi awekeze kwa ajili yake na familia. Isijekuwa kama kanumba hakuwa hata na kibanda.biashara.wazazi.ndugu wote hoi kimaisha. 2% ya wasanii ndo hufika uzeeni na fani. Wengine baada ya miaka michache huanza kutembeza bakuli. Mara oo matibabu. Oo naishi kwa taabu nk. Kama yule nzee fulani.
najivunia kazi yangu...
hao hao mnaochukia ndio
hao hao mnaotumia picha zangu kutengenezea habari..
najivunia kazi yangu...
hao hao mnaochukia ndio
hao hao mnaotumia picha zangu kutengenezea habari..
kwa hiyo tusitumie picha za diamond. acha ujingaa we ulikuwa wap kuweka habari. kapige mkwara vilaza wenzako
ukweli kazi yako siyo mbaya tatizo unajisahau unadhani na wewe ni star wakati ni kapuku, utaanzishaje uzi unakuhusu kwenye jukwaa la celebrities wakat wewe sio, pili mwanaume kujiita kifesi ni dalili za ushoga