Diamond afunguka kuhusu Ali Kiba, asema watu waache uchonganishi

Casuist

JF-Expert Member
Jul 23, 2014
1,179
2,940
Akihojiwa kwenye kipindi cha Clouds, Diamond Plutnumz amesema hana ugomvi na alikiba na anamfahamu Ali hata kabla ya mziki na yeye alishawahi kusaidiwa na Ali Kiba kuhusu masuala kadhaa.

Amesema ameshakutana na Ali Kiba Nairobi na wakaongea matatizo ambayo wanachonganishwa nayo na kugundua ni maneno ya watu tu katikati. Ataka watu hasa media waache uchonganishi.

 
hawa hawawezi kufanya collabo tena na bado wana bifu baridi ila hawajionyeshi kabisa hasa Diamond. ishu ya kuzimiwa mic na kufutiana vocals kwenye ngoma ya single boy ni majibu tosha
 
Una maana akubali kumshikisha ukuta Dimpozi au?
Namaanisha waondoe tofauti zao na kuwa karibu kama zamani kisha washirikiane. Mambo ukuta sidhani kama yana ukweli wowote, ni moja kati ya maneno ya MOND ambayo nayaona ya kike na kutafuta kiki.
 
Back
Top Bottom