ubarinolutu
JF-Expert Member
- Oct 22, 2012
- 1,964
- 3,895
Kiukweli kinachomsumbua diamond Ni hela anazolipwa na you tube , yupo radhi kufanya lolote ili tu apate viewers hata kucheza ngono akaweka you tube.
Na hii ndo sababu hasa inayomfanya siku hizi kupunguza ubunifu kwani amekuwa akitolea remix nyimbo za watu zilizohit, amekuwa akiiga na kukopy videos pamoja na bit za watu zilizohit, amekuwa kwa kiasi kikubwa akitumia lugha ya kingono yaani matusi ili aatract viewers, amekuwa anatengeneza scendo za wanawake ili apate views.
Sasa diamond ataacha kufanya haya hapo viewers wa you tube watakapopungua.
Najua mtamerge thread
Na hii ndo sababu hasa inayomfanya siku hizi kupunguza ubunifu kwani amekuwa akitolea remix nyimbo za watu zilizohit, amekuwa akiiga na kukopy videos pamoja na bit za watu zilizohit, amekuwa kwa kiasi kikubwa akitumia lugha ya kingono yaani matusi ili aatract viewers, amekuwa anatengeneza scendo za wanawake ili apate views.
Sasa diamond ataacha kufanya haya hapo viewers wa you tube watakapopungua.
Najua mtamerge thread