Baba Kapompo
JF-Expert Member
- Sep 11, 2013
- 1,344
- 462
Arrrrrrgghhh
Bila shaka wanaendelea na lile shindano lao la atakayejaza page za kumsifia Kiba ingawaje hawana supporting materials--- Mwana Dar es salaam imeshasanda!!!Majirani mtaa wa pili mpo.......?????
Aaaaaaaaaaaahh, teeeeenah? Sio kweli, kiki tu hizo kama kawaida yake!Hahaha muzeee wa project a.k.a msaniii bora East africa A.k.a ngazi ya waliopotea amechaguliwa kwenye Le project mpya ya We are the world africa
Kama nawaona vile majirani zake Bwana Mcharo!!!Plattt beibiii
Tunafurahi kumuona akisonga mbele, huko kwenu vipi?he he heKama nawaona vile majirani zake Bwana Mcharo!!!
Huku kwe2, haaaaaa, msitushe bhana... Mwana Dar es salama imegongwa ndani ya jumba la BBA lakin Kiba mwenyewe kachomoa kwenda, c unajua tena hapendagi show-off?!Tunafurahi kumuona akisonga mbele, huko kwenu vipi?he he he
Thubutuuu huko hatuchezi kidela ni mwendo wa ngololooHuku kwe2, haaaaaa, msitushe bhana... Mwana Dar es salama imegongwa ndani ya jumba la BBA lakin Kiba mwenyewe kachomoa kwenda, c unajua tena hapendagi show-off?!
Aaaaaaaaaaaahh, teeeeenah? Sio kweli, kiki tu hizo kama kawaida yake!
Thubutuuu huko hatuchezi kidela ni mwendo wa ngololoo
Majirani mtaa wa pili mpo.......?????
Ha ha ha zile steps za kwayahahahaaaaaaa hivi kidela inachezwaje?
Ha ha ha zile steps za kwaya
Tunafurahi kumuona akisonga mbele, huko kwenu vipi?he he he
hahaha statement imenichekesha sana!
Mwl kijana huyu anaweza kurudi na Tunzo hata mbili leo!Mungu amsaidie!
Heheeeeeee yaan mpaka nawahurumia aiseeee