Kashaijabutege
JF-Expert Member
- Oct 20, 2010
- 2,696
- 740
Inasemekana kutoolewana kwa wabunge wawili (CCM) wa jiji la Mwanza kumechangia kwa kiasi fulani kushindwa kwao. Nasikia mmoja alimwaga mboga, na mwingine akamwaga ugali.
Nyepesi zinasema, Dr.Diallo alimsaidia Wenje katika kufuatilia rufaa yake ili Masha asipite bila kupingwa. Kisha Masha kujua hilo, naye akaanza kumsaidia kimkakati Haines ili amshinde Diallo. Diallo naye akazidi kumsaidia Wenje. Umaarufu wa Dr. Slaa nao ukamwaga petroli juu ya moto unaowaka.
Hizi ni tetesi, ila kama ni kweli, VITA VYA PANZI NI FURAHA YA KUNGURU:israel:. CCM itabomoka hivi hivi; maana ivumayo haiudumu.
Nyepesi zinasema, Dr.Diallo alimsaidia Wenje katika kufuatilia rufaa yake ili Masha asipite bila kupingwa. Kisha Masha kujua hilo, naye akaanza kumsaidia kimkakati Haines ili amshinde Diallo. Diallo naye akazidi kumsaidia Wenje. Umaarufu wa Dr. Slaa nao ukamwaga petroli juu ya moto unaowaka.
Hizi ni tetesi, ila kama ni kweli, VITA VYA PANZI NI FURAHA YA KUNGURU:israel:. CCM itabomoka hivi hivi; maana ivumayo haiudumu.