mtamamtete
JF-Expert Member
- Jul 28, 2020
- 398
- 339
Atachomwa moto ufurahi.Mbowe kawafundisha walinzi wake waseme waliteswa wakati ni uongo wameumbuka wamemkaanga mbowe ushahidi wao unammaliza mbowe miaka 30 jela au kunyongwa
Atachomwa moto ufurahi.Mbowe kawafundisha walinzi wake waseme waliteswa wakati ni uongo wameumbuka wamemkaanga mbowe ushahidi wao unammaliza mbowe miaka 30 jela au kunyongwa
Always historia hujurudia kwa ubaya au kwa Uzuri kwani matendo ya watu ndo mstakabali wa yayale wanayoyaishiHuyu Mbowe huyu mtu asiyejua kutukana mtu, Mbowe ambaye hajawahi kumdhalilisha mtu, kuna mtu mstaarabu kama Mbowe hapa Tz
Mshawahi muona Mbowe akimtukana au kumchafua mtu?Mshawahi kumuona Mbowe akijikweza japo katokea familia ya kishua?
Mbowe ni gaidi? Haimake sense kabisa, Mbowe ana ugaidi gani jamani?Mbona mnamnyanyasa sana?
Naombeni niongee tu kibinadamu
-Mbowe ana moyo kama nyie
-Mbowe anahisi maumivu kama nyie
-Kibinadamu Mbowe ni baba na ana mke na watoto nani aisimamie familia yake?
-Ni upumbavu kumuweka mtu ndani kwa makosa ambayo ni ya uongo
-Nakwambia dhuluma mlizomfanyia Mbowe mungu atawalipa mchana kweupe
-Kwanza mliharibu mali zake, mkatuma dc mmoja akaharibu green house zake kule hai, hamkumchoka mkamuharibia biashara zake zote, mkaua bilcanas kila kitu mmeharibu
Basi hamkuridhika sasa mmempea kesi ya ugaidi....nyie ni binadamu gani aisee?hivi mna moyo ninyi....Ila Sirro weweOne day mungu atakulipa....You will pay for what you did....Ulitumwa na mwendazake leo yuko wapi
Na Mungu alivyo fundi hakuna alowahi mgusa Mbowe akabaki salama, jiulize Why,,, Mbowe ni Hai na Hai Mbowe mtaikuta na mtaiacha na jimbo litabaki tu la chadema
Mama nakushangaa sana, hivi inakuaje unakubali jambo hili linakutia doa utawala wako?Mama unaheshimika ujue, huko nje wanakukubali mnoo but kwa hili unajiharibia sana, unatengeneza maadui mama pls stop this kuna nafsi inaniambia labda hauna mkono katika hii kesi lakini pls can you stop this oppression?Ondoa huu ukandamizaji
Kwanini bado tunaruhusu makesi yaloanzishwa na mwendazake yazidi kulitonesha kidonda hili taifa?Mama plz makesi yenye asili ya mwendazake yapigwe chini pls hakua na utu yule
Mimi nitakua wa mwisho kuamini mbowe ni gaidi kwanza haimake sense na hakuna igp anayenisikitisha kama sirro ila hakuna marefu yasiyo na ncha
Mateso alopitia mbowe ni magumu, na still akavumilia huyu jamaa ana moyo wa kimwamba aisee mimi hata robo siwezi narudia I can't! Wamemtesa sana wamemfanyia kila hujuma ila mungu atalipa soon
Una kichaa cha mbwaHata Sabaya anaumia kama anavyoumia Mbowe lakini Sabaya mlifurahia naye ana familia Tena ana mchumba mzuri kweli sasa nani atamuoa sasa ngoja gaidi ale mvua Mimi naenda kurithi mie wake tu kwahasira naenda kuoa miewake mbowe
Sabaya was a evil man...don't compare mbowe someone's shitKwani Sabaya sio binadamu?
Sabaya hakuwa na ndugu?
Mwambieni Kweka aje asimamie kesi ya baba mkwe.
Mbowe ni gaidi,kile kikosi cha utekaji bandia kilikuwa cha nani kama sio Mbowe?
Mabomu hayo ya kwenye mikutano yenu ya chadema mlikuwa mnayatengeneza ili Dunia iwaone mnaonewa.