Nimekua kila siku upande fulani kwa kila likitokea jambo
Lakini sasa naona hatari ya kuendelea na msimamo huu
kwani walipouliwa waislam mwembechai, wapo walioumia na wapo walioguswa na kusikitika kuona hawakutendewa haki kwani mambo waliyoambiwa ni uzushi
ikafuata wapemba baada ya uchaguzi waliuliwa kama mbuzi na kukimbilia mombasa ikawa sawa kuwa hao niwana CUF wamejitakia wneyewe
Kubenea naye kutetea haki hakuachwa wengi tulimuona amejitakia kwani hatuhusu
ikaja chadema arusha hapo tukaanza kupata picha kumbe hili SERIKALI katili halina huruma na linavunja haki za binadamu, kufumba na kufumbua morogoro na ikamaliza na iringa sasa chadema kimya
ulimboka na wenzake wakidai maslah yao ya msongi naye yakamkuta tuasema amejitakia kwani anasumbua nchi na kuhatarisha amani ya nchi
sasa ponda na farid twasema sawa hawa kwanza magaidi ni stahili yao wauwawe na kuwekwa ndani forever
hii hali ni mbaya kwani serikali inatumia loop hole hii ya kundi moja kua inaunga mkono serikaili inaposhughulia kundi jingine.
watanzania tunatakiwa kuacha kua bias tuyaangalie mambo kwa jicho la haki hasa inapokuja suala la uhai wa mtanzania, ni kweli hao wote walikosea kudai mambo kadhaa kwa serikali iyarekebishe? serikali hii kwa mitndo huu tujue itatumaliza ikimaliza kwa hao wewe na mimi tujue siku moja nasi yatatufika, tupendane na tuone umuhimu wa mtu kutundewa haki na tusiwe mashabiki
Hii ni ushauri si lazima uukubali leo hata baadae ukiwa peke yako utaona ipo shida kwenye uongozi wetu na tukicheka nao tutaambulia patupu
Lakini sasa naona hatari ya kuendelea na msimamo huu
kwani walipouliwa waislam mwembechai, wapo walioumia na wapo walioguswa na kusikitika kuona hawakutendewa haki kwani mambo waliyoambiwa ni uzushi
ikafuata wapemba baada ya uchaguzi waliuliwa kama mbuzi na kukimbilia mombasa ikawa sawa kuwa hao niwana CUF wamejitakia wneyewe
Kubenea naye kutetea haki hakuachwa wengi tulimuona amejitakia kwani hatuhusu
ikaja chadema arusha hapo tukaanza kupata picha kumbe hili SERIKALI katili halina huruma na linavunja haki za binadamu, kufumba na kufumbua morogoro na ikamaliza na iringa sasa chadema kimya
ulimboka na wenzake wakidai maslah yao ya msongi naye yakamkuta tuasema amejitakia kwani anasumbua nchi na kuhatarisha amani ya nchi
sasa ponda na farid twasema sawa hawa kwanza magaidi ni stahili yao wauwawe na kuwekwa ndani forever
hii hali ni mbaya kwani serikali inatumia loop hole hii ya kundi moja kua inaunga mkono serikaili inaposhughulia kundi jingine.
watanzania tunatakiwa kuacha kua bias tuyaangalie mambo kwa jicho la haki hasa inapokuja suala la uhai wa mtanzania, ni kweli hao wote walikosea kudai mambo kadhaa kwa serikali iyarekebishe? serikali hii kwa mitndo huu tujue itatumaliza ikimaliza kwa hao wewe na mimi tujue siku moja nasi yatatufika, tupendane na tuone umuhimu wa mtu kutundewa haki na tusiwe mashabiki
Hii ni ushauri si lazima uukubali leo hata baadae ukiwa peke yako utaona ipo shida kwenye uongozi wetu na tukicheka nao tutaambulia patupu